ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,749
- 39,591
- Thread starter
- #281
Nilisahu lol enjoy mkuu hiyo relationship haina usaliti ni uhakika amani💯Silali peke yangu, I m just in a committed relationship with beer🍺
Nilisahu lol enjoy mkuu hiyo relationship haina usaliti ni uhakika amani💯Silali peke yangu, I m just in a committed relationship with beer🍺
me tooWas one of my favourite soap
Sawa babuuAsante mjukuu, nazidi kukupenda!!
Welcome to the clubme too
Sasa kuisema vibaya nyeto n kutafuta ugomvi na mm 😎Sema jitose mwanangu kujichukulia sheria mkononi kuna muda kunachosha.
Mkiwa njiani nambie nije chap, mm niko mtaa wa jaluo hapa 😎Niachie ganji nikuletee mtoto mpaka hapo Daraja 2.
Kama yapi hayo bossUtapata ila kuna vitu mpaka uache
Battle za kipuuzi na wanawakeKama yapi hayo boss
bado sjakutana na mtu sahihiKwanini upo single?
Mapenzi yamekushinda?
Hujaona faida yake?
Au upo single kwa sababu maalum?
Bila mapenzi, unadhani dunia ingekuwaje?
Je, wewe unaonaje maisha ya kuwa single? Ni uchaguzi wako, mazingira yamekulazimisha, au bado hujakutana na mtu sahihi? 🤔💭
Sunday
ShesRise_1 🖐
Ipo siku utapata mtu sahihibado sjakutana na mtu sahihi
Mimi niko sahihi. Bado yeye tuIpo siku utapata mtu sahihi
Na we pia uwe sahihi kwake
Nimekuelewa boss 🙏Battle za kipuuzi na wanawake
Na pia ujifunze kua msiri sana
Hata kama unajua kitu kama hakina faida ukisema basi usiseme
Mf: mimi kuna baadhi ya vitu najua humu ila nitaenda navyo kaburini
Maana hata nikisema hakuna faida nikinyamaza hakuna hasara
Haya sawa mkuu kua mvumilivuMimi niko sahihi. Bado yeye tu
🥰🥰♥️Nimekuelewa boss 🙏
Kweli nimeamini wewe mzee ni wa hovyo 😄😅, Sawa mubaba nimekusikiaNitakupa dunia ambayo hakuna wa rika lako anaweza kukupa, halafu mwanamke hadate na age mate, tafuta mtu 10+ akupe raha!😅😅
Uvumilivu unachelewesha maendeleo.Haya sawa mkuu kua mvumilivu
Heh😅Poor Government support
Acha basi😅Poor infrastructure
🤣🤣Poor Social service
😆😆😆Lack of capital
🙌🙌😁Competition from medium and large Enterprise etc
Binti najuaga wewe ni kapoleeKweli nimeamini wewe mzee ni wa hovyo 😄😅, Sawa mubaba nimekusikia
Sababu ni zile zile hazijawi badilika mkuu😃😃Heh😅
Acha basi😅
🤣🤣
😆😆😆
🙌🙌😁