Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Kuna mrembo tumepanga naye date. Nikamwambia anitumie pesa ninyoe, ninunue na outfits za kwenda nazo kwenye date nashangaa eti kaniblock.
Kwa hiyo alitegemea niende kwenye date mchafumchafu?

Kwa hali hii bora kubaki single tu.
 
Nalinda afya yangu ya hakili pia nakuza uchumi wangu.

Mahusiano kwa mwanamke nachofaidika kwake ni mbususu yake tu.
mbususu nanunua staki stress za kuchungwa chungwa kwa wivu wa mapenz.

ila baadae nitaoa
 
Back
Top Bottom