ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,770
- 39,706
- Thread starter
- #341
Ukisimama nchale ukichuchumaa nchaleUkiwa mtoto shida ni ada.
Ukikua shida ni kodi.
Ukizeeka shida ni afya.
Maisha hayakosi assignment.
Tofauti ni kwamba baadhi ya matatizo yanakupa muda wa kujiandaa…
Bao kama la mwamba wa lusakaMengine yanaingia moja kwa moja first eleven. 😂⚽🔥