YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361





ila bichwa una mdomo, umenishinda 







ila bichwa una mdomo, umenishinda 


🤣🤣🤣🤣
Hujathibitisha kupo.Hakuna kifo hakuna shida huko.
Siwezi amini kitu ambacho hakina uthibitisho.Nimekupata vema Coca! Ila si huwa unaomba Mungu ukiwa peke yako? Yesu unamuamini?
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Uduguu sio shida zako kabisaaaa
Lakini si tunaendelea kujongea meza ya Bwana km kawaida?!!




uduguu hapo tupaache kwaniii.Cocakola huyo kama ulikua hujui.
Unaelekeza risasi zako kwa
raia wema unaacha majambazi yanatamalaki tu.
Vaa miwani uone vizuri mkuu





kwambaaa??? Hebu fafanua kwani nipate kukuelewaa, ili twende sawaaa.hujaona kkkt hapo juu, umewezaje kuni quote mimi bila kusoma hoja nzima? Mbona unatetea sana kkkt kuwa hakuna michango, au we ndiye mchungaji mhamasishaji wa kutoa michango? Tena huko kkkt ndio kuna michango mingi na mikubwa kuliko kwingine. Hayo mashule, vyuo na mahospitali ni michango ya waumini kwa kwenda mbele. Mshangao na maudhi ni pale muumini anachangia lakini akihitaji huduma hatatambuliwa kama alitoa mchango, watoto wake hawatasoma shule na vyuo alivyochangiaKwenye mada sijaona km kataja dhehebu!
Lkn mi naposali ss,na nilipotokea sijaona hii kitu ,sijui huko mliko wenzetu?
Ngoja mwanasheria wangu atoke evening glory ndo ntaongea ya moyoni.
Inaonekana mim peke yangu ndo ninayefurahia kuitwa jinsia isiyo yangu.
Wenzangu wote mkiambiwa mnaruka futi kumi.
Dhibitisha wewe sio cokakola bin cute mke![]()






tajeni na zinginee ID zangu, tena muwaambie modes waziungee.Niliacha Kwa sababu hizi:Heri ya Jumapili kwa nyote.
Niende madani sasa.
Kwa nini uliacha kwenda kanisani mpaka leo hii? Ni nani au nini kilikufanya usiende tena kanisani? Mbona ulikuwa muumini mzuri tu na ulikuwa kiongozi wa vijana? Mbona ulikuwa kiongozi wa kwaya nk?
Unaweza ku share hapa sababu hasa iliyokupelekea ukaacha kwenda kanisani? Je, uliona ni usanii tu?
Karibu!
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
kwambaaa??? Hebu fafanua kwani nipate kukuelewaa, ili twende sawaaa.



kote ni michango tu, wamisionari hawapo siku hiziWapi huko nenda kwa makanisa ya kweli achana na hayo.
tajeni na zinginee ID zangu, tena muwaambie modes waziungee.


Duh! Kwahiyo mimi uduguu cocastic na muda huo nakuwa amadi
Mimi nilishasema anayesema cute wife dume aje nimkaze shida iko wapi? Mbona fresh tu![]()






watu wenyee heka heka na JF, coca anawatesa mnoooo, wakimaliza kutaja I'd zangu zote, wanipe ruhusa nimuambie mode m1 hivi aziunge.





Maisha ni michango wapi utaishi bila kuchanga.kote ni michango tu, wamisionari hawapo siku hizi
Pasingekuwepo na kifoHujathibitisha kupo.
Umeongea kweli mkuu.hujaona kkkt hapo juu, umewezaje kuni quote mimi bila kusoma hoja nzima? Mbona unatetea sana kkkt kuwa hakuna michango, au we ndiye mchungaji mhamasishaji wa kutoa michango? Tena huko kkkt ndio kuna michango mingi na mikubwa kuliko kwingine. Hayo mashule, vyuo na mahospitali ni michango ya waumini kwa kwenda mbele. Mshangao na maudhi ni pale muumini anachangia lakini akihitaji huduma hatatambuliwa kama alitoa mchango, watoto wake hawatasoma shule na vyuo alivyochangia
mama tamuu ktk moja na mbili.
Tuanzisheni chama chetu cha mashoga wa mtandaoni.
Mi najitangaza kabisa.
Jamani eeh mimi Clepatina
ni mwanaume nina ndevu na misuli.
Nina tukalio tudogo tugumu,tukavu,tumekauka na kusinyaa
Wenzangu ni cute mke,kokakola ,mimihamadiweyupi, na ......






katibu ueneziii nipooooo, mashoga tuko winja winjaaaa, afu tunajikubaliii sasa na hatujifichiiiiiiii.












