Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.

Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.
Kama kuna ubaya ,bila shaka kuna wema pia
 
Cute wife why nimuambie yeye na si wewe? Wewe nina uhakika 100+% ni jike. Ila huyo niliyemtaja mmmmh, niishie hapa.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Mkuu si nimekubali kuwa kweli mimi ni mwanaume kama unavyodai?

Au kuna mahali nimebisha mkuu wangu?

Nikuambie tu.
Mimi kuhisiwa ni mwanaume ni fahari kwangu.
Mwanaume ni taswira ya Mungu maana Mungu alimuumba kwa mfano wake.Uanaume ni ushindi na heshima.

Vile vile kwa vita niliyoipigana kwenye maisha yangu ni sawa kabisa nikiitwa mwanaume.Ni wanawake wachache wana ujasiri wangu.

Kwa hiyo mkuu ni kweli NAKUBALI mimi ni dume.
 
Mkuu si nimekubali kuwa kweli mimi ni mwanaume kama unavyodai?

Au kuna mahali nimebisha mkuu wangu?

Nikuambie tu.
Mimi kuhisiwa ni mwanaume ni fahari kwangu.
Mwanaume ni taswira ya Mungu maana Mungu alimuumba kwa mfano wake.

Vile vile kwa vita niliyoipigana kwenye maisha yangu ni sawa kabisa nikiitwa mwanaume.Ni wanawake wachache wana ujasiri wangu.

Kwa hiyo mkuu ni kweli NAKUBALI mimi ni dume.
Hongera sana kwa kushinda. Keep it up

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu si nimekubali kuwa kweli mimi ni mwanaume kama unavyodai?

Au kuna mahali nimebisha mkuu wangu?

Nikuambie tu.
Mimi kuhisiwa ni mwanaume ni fahari kwangu.
Mwanaume ni taswira ya Mungu maana Mungu alimuumba kwa mfano wake.Uanaume ni ushindi na heshima.

Vile vile kwa vita niliyoipigana kwenye maisha yangu ni sawa kabisa nikiitwa mwanaume.Ni wanawake wachache wana ujasiri wangu.

Kwa hiyo mkuu ni kweli NAKUBALI mimi ni dume.
 
Back
Top Bottom