HahahahahaNliacha baada ya kuona watu wananguka ovyo baada ya kuombewa pia kuna maombi ya elfu 50,20 kushuka chin nkaona ujinga sirud tena bora nkipga vant nakua mwema sana
Kama kuna ubaya ,bila shaka kuna wema piaKwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.
Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.
Nimekupata vema Coca! Ila si huwa unaomba Mungu ukiwa peke yako? Yesu unamuamini?Nilipoamua kuishi ndani ya uhalisia wangu. Hayo mengine sio shida zangu.
Ukweli wote wanaujua, hawa watu wana maarifa makubwa vitu vingi tumeaminishwa si vya ukweliKwamba hata siri za uhalisia wa kuumhwa dunia wao wanazo? Hata siri za Mungu wao wanazo? Hiyo nilisikia pia, kuwa ni full ujasusi wa hatari sana.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
cocastic hebu rahisisha basi kama vile unashuka mtelemko wa pale pombiiNilipoamua kuishi ndani ya uhalisia wangu. Hayo mengine sio shida zangu.
Hii hoja iko nje ya mada.Kama kuna ubaya ,bila shaka kuna wema pia
Well said 👏👏👏Kanisa au msikiti ni wewe mwenyewe wala si lile jengo!!!
Mkuu si nimekubali kuwa kweli mimi ni mwanaume kama unavyodai?Cute wife why nimuambie yeye na si wewe? Wewe nina uhakika 100+% ni jike. Ila huyo niliyemtaja mmmmh, niishie hapa.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Mbona mnatudindisha?nataka unioe ili uwe unanipa rinda
Hapo pa kusema ni secret society huwa nashtuka sana.Ukweli wote wanaujua, hawa watu wana maarifa makubwa vitu vingi tumeaminishwa si vya ukweli
Hongera sana kwa kushinda. Keep it upMkuu si nimekubali kuwa kweli mimi ni mwanaume kama unavyodai?
Au kuna mahali nimebisha mkuu wangu?
Nikuambie tu.
Mimi kuhisiwa ni mwanaume ni fahari kwangu.
Mwanaume ni taswira ya Mungu maana Mungu alimuumba kwa mfano wake.
Vile vile kwa vita niliyoipigana kwenye maisha yangu ni sawa kabisa nikiitwa mwanaume.Ni wanawake wachache wana ujasiri wangu.
Kwa hiyo mkuu ni kweli NAKUBALI mimi ni dume.
Mkuu si nimekubali kuwa kweli mimi ni mwanaume kama unavyodai?
Au kuna mahali nimebisha mkuu wangu?
Nikuambie tu.
Mimi kuhisiwa ni mwanaume ni fahari kwangu.
Mwanaume ni taswira ya Mungu maana Mungu alimuumba kwa mfano wake.Uanaume ni ushindi na heshima.
Vile vile kwa vita niliyoipigana kwenye maisha yangu ni sawa kabisa nikiitwa mwanaume.Ni wanawake wachache wana ujasiri wangu.
Kwa hiyo mkuu ni kweli NAKUBALI mimi ni dume.
Vile vile kwa vita niliyoipigana kwenye maisha yangu ni sawa kabisa nikiitwa mwanaume.Ni wanawake wachache wana ujasiri wangu.
Kwa hiyo mkuu ni kweli NAKUBALI mimi ni dume.












