mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,750
- 7,850
- Thread starter
- #221
Why after 11 months?Jumapili nitaenda after 11months
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Why after 11 months?Jumapili nitaenda after 11months
Wafuasi wamekonda kutokana na kukamuliwa vilivyo au siyo?Nilivyogundua wanatuambia tunamtolea Mungu alafu linakuja kapu la binadamu na kingine nikagundua kuwa Mungu hana duka ambalo anaendaga kununua vitu nikaona huu ni umavi tu kwa sababu mapastor wamenawili wafuasi wanatia huruma wakisubiria huruma ya Mungu nikaona kumanisha nini?

ila life is not fair at all! Watoto wa pastors wengine wanasoma shule bora kabisa... watoto wa waumini wanapigwa na kwashakooGod have mercy
🤔🤔Baada ya kumtumia baba yangu kuwapatia wadhamini baada ya muda mrefu mzee naye akawa haezi tena basi wakamtimua na kumfungia asije tena kanisani tena hadi tukafungiwa geiti na walinzi wa kanisani pale Arusha mjini kati lutherani na huyo mchungaji alikuwa anaitwa mchungaji laroya , baadae tena mzee kavamiwa na hela za kujenga kanisa na kwa vipigo vyakutosha akafa pale makaburini watu wakasema bora amekufa tujilie vyetu ila sijaamini kafa eti .
Ila waleo hiyo dayosisi imefulia kabisa
Ngoja mwanasheria wangu atoke evening glory ndo ntaongea ya moyoni.
Inaonekana mim peke yangu ndo ninayefurahia kuitwa jinsia isiyo yangu.
Wenzangu wote mkiambiwa mnaruka futi kumi.
Dhibitisha wewe sio cokakola bin cute mke![]()
aiseeeeeHahaha halafu weweMi sio murembo mkuu.
Mi ni ribaba renzako![]()
unajua uongo? We unasali makanisa gani usiyeyajua haya, huenda we ni mtoaji mkubwa hujawahi kuona watu wakitengwa kwa kuwa wagumu wa kutoaHuu uongo jmn
Wapi huko usipotoa unatengwa?
Maana kutoa ni hiari
🤣🤣🤣Walivosema sema tumchangie mchungaji gari, nikasema kwaheri mazee


Kwani wanahitajika astronauts ndo iwezekane mkuu?.
Kubali tu.
Mbona mi nimekubali kirahisi![]()









Ukigundua boss wako fisadi utaamua kuacha kazi kwa sababu iyo?Kusema kweli mchungaji wangu alifumaniwa na MKE wa mtu, kuanzia hapo nikaona kwenda kanisani ni kupoteza muda tu na kuliwa sadaka zangu
Unakutana na watu Wana hali mbaya mno pale kanisani, wengine wagonjwa mno na hela hawana,
Sijawahi kuwa muislam na ht wapo waislam wengne ambao nao pia wameona uongo uliopo huko na hawana mpango ten na huo ujinga wa DiniKijana alitekulia kwenye uislam hawezi kuongea maneno kama haya
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Ngoja mwanasheria wangu atoke evening glory ndo ntaongea ya moyoni.
Inaonekana mim peke yangu ndo ninayefurahia kuitwa jinsia isiyo yangu.
Wenzangu wote mkiambiwa mnaruka futi kumi.
Dhibitisha wewe sio cokakola bin cute mke![]()









hio sio sababu ya kutokwenda sababu kutoa ni hiari fanya kile moyo wako unaona amani japo kuna michango n lazima kutoa kama sadaka, fungu la kumi kuhusu ujenzi ni kwa ajili yako ww sasa utasali kwenye nyumba gani usipojenga!!!au hata kama n kuwasaidia wengine ujenzi n sawa kikubwa hamna anaekulazimisha.Michango imezidi sana, michango yenyewe hainufaishi waumini moja kwa moja, mara mchango wa ujenzi, mara kiwanja, mara gari wakati we huna nyumba huna baiskeli huna biashara, hela inatakiwa tu. Usipotoa utatengwa au kupakaziwa una dhambi ufukuzwe
Mambo mama tamuuu aka cute mke🤣.