cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,474
- 188,324
Yeeeeesssss ndo mie hapaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cute mke huyooo.
Blaza Cocakola
Blazaaa blazaaaaaa, na siringi wala nn
Yeeeeesssss ndo mie hapaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cute mke huyooo.
Blaza Cocakola
Ndiyoooooo ni mtu m1, anabadilika kulingana na ID,Umekuja I’d yangu nyingine [emoji23][emoji23][emoji23]
Cocastic naambiwa na wewe ni I’d yangu pamoja na ya mtoa mada
Ngojaa niongee na mode aunge chaaaap. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waziunganishe kwakweli [emoji23][emoji23]
sisi tuendelee kutoa tu, tutatoa kulingana na uwezo wetu pasipo kulemewa. Michango mingine kuipotezea haiwezekani kwa kuwa kila mara upo kanisani utaona aibu kama hutoiUmeongea kweli mkuu.
KKKT watatuua kwa michango jamani.
Mi naimba kwaya mkuu.
Naenda mazoezi mara 3 kwa wiki na kila siku natakiwa mchango wa kwaya na sadaka.Hapo ni mbali na kama kuna mwenzetu kafiwa/olewa/ugonjwa.
Kuna michango ya Jumuiya na.sadaka.
Then kuna michango utitiri ya kanisa.
Acha tu ila kwa Yesu raha
Ndiyoooooo ni mtu m1, anabadilika kulingana na ID,
akiwa kwa ahmadi ni mwanaume lijariii, akiwa kwa coca ni shogaa, akiwaa kwa cute wife ni mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngojaa niongee na mode aunge chaaaap. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tutatoa tu watakavyotupangia, wanatuambia wamisionari hawapo ndio sisi washirika ndio wamisionari wapyaMaisha ni michango wapi utaishi bila kuchanga.
Mimi Gorvinda😂😂[emoji23] MimiBichwaKomweWeNani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF haijawahi kunisumbua, mwaka wa 4 huu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu niwacheee mbona kali!! Alafu sasa hata haichekeshi anatafuta sympathy kupitia wengine
Yeeeeesssss ndo mie hapaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Blazaaa blazaaaaaa, na siringi wala nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaniacha hoiiiiii uduguuu bhanaa khaaahTena ruksa mode waziunge km kweli na ya kwake iungwe tujue mbivu na mbichi asilete janja janja za nyani hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nakufundishaje, akati wee ndo miee, acha kuwachoraa watu hapa.Haturingi kabisaa na wala sio shida zetu [emoji23][emoji23]
Itabidi unifundishe kingoni uduguu ili niwe naandika kwenye hii I’d
Bichwa Huendi Mbinguni😂😂Sizungumzi chochote mpaka mwanasheria wangu aje. [emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF haijawahi kunisumbua, mwaka wa 4 huu.
Naswampaa na kutamba nitakavyoooo.
Labda km nyie ndo anawastuaa, mie hata mshipa hautikisikiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu umechachukaaa sasa.Mimi toka 2015 nipo na hii I’d nawachora tu [emoji23]
Sitishiki na yeyote hakuna anayenijua hata kivuli changu sometimes kinanisahau [emoji2222]
Kifo kinathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Pasingekuwepo na kifo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nakufundishaje, akati wee ndo miee, acha kuwachoraa watu hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu umechachukaaa sasa.
nyie mashoga vipi? Watu wanajadili mada iliyoko mezani nyie mnaleta mambo yenu ya ushoga. Anzisheni uzi wenu mjadili harakati zenu huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katibu ueneziii nipooooo, mashoga tuko winja winjaaaa, afu tunajikubaliii sasa na hatujifichiiiiiiii.
Raha ya kuwa Shoga uwe waziii jamii ikujadili, usipojadiliwa wee sio Shoga ni lijari uliye kwa mkopooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na ushogaa wetuuu, na haturingiii wala nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mbona huwezi thibitisha kutokuwepo kwa Mungu zaidi ya kujifungia kwenye box la sayansi tu.Kifo kinathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, asingeruhusu kifo kinachotenganisha wengi wapendanao kiwepo na kuwaacha na huzuni kubwa.
Hata unapojiona unathibitisha Mungu yupo, unathibitisha Mungu hayupo.