cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
watu wanateseka mpk na fake I’d, mimi kwakweli waniletee niwakaze na dildo






wee hebu sema kweliii.watu wanateseka mpk na fake I’d, mimi kwakweli waniletee niwakaze na dildo






wee hebu sema kweliii.Walio anzisha hukuwakemea, ila ulipoona nimejibu ndo unanijia wima wimaa, hebu niwacheeee puliiiiiiizzzzznyie mashoga vipi? Watu wanajadili mada iliyoko mezani nyie mnaleta mambo yenu ya ushoga. Anzisheni uzi wenu mjadili harakati zenu huko






Sijazungumzia mazuri ya kanisa mkuu,Nakwambia hivi, hoja iko nje ya mada, na mimi sijasema babu yangu alijua kweli, namaanisha siwezi kukosa points za kutetea kanisa kwa sababu hata mimi ni mtoto wa kanisani.
Nisichotaka ni wewe kuja ku derail thread kwa kuleta mada off point.
Anzisha mada ya mazuri ya kanisa, naamini naweza kukuelewesha mengine ambayo huyajui kuhusu somo hilo pengine.
Umeandika hivi.Sijazungumzia mazuri ya kanisa mkuu,
usihofu huwa napenda sana kukusomaWalio anzisha hukuwakemea, ila ulipoona nimejibu ndo unanijia wima wimaa, hebu niwacheeee puliiiiiiizzzzz
![]()
Sasa unakutana na wanafiki kama kina mapengo ndio viongozi wa dini ,hiyo dini utaitafsirije?Heri ya Jumapili kwa nyote.
Niende madani sasa.
Kwa nini uliacha kwenda kanisani mpaka leo hii? Ni nani au nini kilikufanya usiende tena kanisani? Mbona ulikuwa muumini mzuri tu na ulikuwa kiongozi wa vijana? Mbona ulikuwa kiongozi wa kwaya nk?
Unaweza ku share hapa sababu hasa iliyokupelekea ukaacha kwenda kanisani? Je, uliona ni usanii tu?
Karibu!
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
nyie mashoga vipi? Watu wanajadili mada iliyoko mezani nyie mnaleta mambo yenu ya ushoga. Anzisheni uzi wenu mjadili harakati zenu huko



wewe nawe acha unafiki si uzipite!!! Afu mbona ailyeanzisha kuongelea hizo habari hujamwambia?? Cocastic crush wa MukurungwaSiwezi amini kitu ambacho hakina uthibitisho.



Kwamba eti wewe Coca ni dume la mbegukwambaaa??? Hebu fafanua kwani nipate kukuelewaa, ili twende sawaaa.




Hakika!Niliacha Kwa sababu hizi:
1.Matajiri kupendelewa
2.Niligundua wachungaji wengi ni maspy
3.Kuitwa KONDOO
4.Niligundua kumbe Mungu yupo nasi kila sehemu siyo kanisani tu.
5.etc,..etc,..etc.
Hahahahahaha wewe ni genta bhanaUmekuja I’d yangu nyingine
Cocastic naambiwa na wewe ni I’d yangu pamoja na ya mtoa mada
Unashindwa kuongeza maarifa unaongeza Kiranga kuwa mkiristo. Kichwa chako hakina kazi?Umejibu vema sana naweza kusema kuliko wote hapo juu. Umejibu swali hivyo kufuata itifaki. Mmoja ameuliza swali badala ya kujibu swali. Kumbe Kiranga ulikulia katika Ukristo na ulikuwa muhudhuriaji mzuri wa kanisani eeh?! Nimefurahi kufahamu, nime add kitu kichwani.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Coca weweeekatibu ueneziii nipooooo, mashoga tuko winja winjaaaa, afu tunajikubaliii sasa na hatujifichiiiiiiii.
Raha ya kuwa Shoga uwe waziii jamii ikujadili, usipojadiliwa wee sio Shoga ni lijari uliye kwa mkopooo,
Watu na ushogaa wetuuu, na haturingiii wala nn![]()
Ni miaka mingapi imepita.nilipoona wahubiri wanafundisha na kukemea vitu kutokana experience za maisha yao, na mitazamo yao isiyo sadiki ukweli wa maisha nitazamavyo mimi. nikala nduki
Hahahaha so mimiamadiwenani ni ID yako?Ndiyoooooo ni mtu m1, anabadilika kulingana na ID,
akiwa kwa ahmadi ni mwanaume lijariii, akiwa kwa coca ni shogaa, akiwaa kwa cute wife ni mwanamke.
![]()
Halafu coca wewe ndiyo mimiamadiwenanisasa nakufundishaje, akati wee ndo miee, acha kuwachoraa watu hapa.





Mkuu nilishalijibu hilo. Mimi nikiuliza swali mtu akifuata protocol akanijibu kwanza badala ya kuuliza swali, huwa na appreciate sana. Na ndicho nilichofanya kwa Kiranga. Amejieleza vema pasipo kona kona, unlike others.Unashindwa kuongeza maarifa unaongeza Kiranga kuwa mkiristo. Kichwa chako hakina kazi?