Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.

Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.
Kwakweli umenifikirisha sana ..
 
Si nakusomaga kwenye comment zako

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app

Mimi sinaga shida na maboya watakavyosema chochote sawa tu! Kwanza hakuna anayenijua zaidi ya mtu mmoja tu humu!

Sasa kupoteza muda wangu kumuaminisha mtu mimi nani? Ni kupoteza rasilimali muda
Asiyeamini nishatoa go ahead aje nimkaze asijipe shida ya kubet
 
nimenyoosha mikono jamani nisameheni

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
mama tamuu ktk moja na mbili.

Tuanzisheni chama chetu cha mashoga wa mtandaoni🤣.
Mi najitangaza kabisa.
Jamani eeh mimi Clepatina
ni mwanaume nina ndevu na misuli.
Nina tukalio tudogo tugumu,tukavu,tumekauka na kusinyaa🤣🤣
Wenzangu ni cute mke,kokakola ,mimihamadiweyupi, na ......
 
Halafu kama ni msomaji wa Biblia mzuri utagundua kanisa la akina Paulo halikuwa hivi, waliwajali mno masikini na waumini walalahoi. Halikuwa na ubaguzi.




Wajinga ndiyo waliwao boss though ni mchungu mno uhalisia huu

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Yapo makanisa,na watumishi wa hivyo km wa kanisa la kwanza, ila ni wachache
 
Kwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.

Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.
Heshima kwako.

SASA mkuu wewe ukifa watakuzika Kwa taratibu gani???
 
mama tamuu ktk moja na mbili.

Tuanzisheni chama chetu cha mashoga wa mtandaoni.
Mi najitangaza kabisa.
Jamani eeh mimi Clepatina
ni mwanaume nina ndevu na misuli.
Nina tukalio tudogo tugumu,tukavu,tumekauka na kusinyaa
Wenzangu ni cute mke,kokakola ,mimihamadiweyupi, na ......
 
Mimi sinaga shida na maboya watakavyosema chochote sawa tu! Kwanza hakuna anayenijua zaidi ya mtu mmoja tu humu!

Sasa kupoteza muda wangu kumuaminisha mtu mimi nani? Ni kupoteza rasilimali muda
Asiyeamini nishatoa go ahead aje nimkaze asijipe shida ya kubet
Kweli hii ni JF

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
mama tamuu ktk moja na mbili.

Tuanzisheni chama chetu cha mashoga wa mtandaoni.
Mi najitangaza kabisa.
Jamani eeh mimi Clepatina
ni mwanaume nina ndevu na misuli.
Nina tukalio tudogo tugumu,tukavu,tumekauka na kusinyaa
Wenzangu ni cute mke,kokakola ,mimihamadiweyupi, na ......
Mkuu una tukalio tupi?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom