Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.

Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.
Kwa sababu ulimwengu si milele ndo maana unaona shida zipo.
Dunia ni makao ya mda mfupi ya Mwanadamu ili afanye matengenezo kabla ya mlango wa rehema kufungwa ili kuelekea kwenye umilele yaani kutokufa.
 
Heri ya Jumapili kwa nyote.

Niende madani sasa.

Kwa nini uliacha kwenda kanisani mpaka leo hii? Ni nani au nini kilikufanya usiende tena kanisani? Mbona ulikuwa muumini mzuri tu na ulikuwa kiongozi wa vijana? Mbona ulikuwa kiongozi wa kwaya nk?

Unaweza ku share hapa sababu hasa iliyokupelekea ukaacha kwenda kanisani? Je, uliona ni usanii tu?

Karibu!

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Michango mingi sana
 
Michango imezidi sana, michango yenyewe hainufaishi waumini moja kwa moja, mara mchango wa ujenzi, mara kiwanja, mara gari wakati we huna nyumba huna baiskeli huna biashara, hela inatakiwa tu. Usipotoa utatengwa au kupakaziwa una dhambi ufukuzwe
Wapi huko nenda kwa makanisa ya kweli achana na hayo.
 
Shetani amenikamata kwenye suala la ngono
Tatizo unajihukumu unadhani Mungu hawezi kukupokea kwasababu ya dhambi yako,lakini yeye anatupokea ijapo dhambi zetu ni nyekundu kama bendera usipokwenda kanisani unakufa kiroho kitu ambacho ni hatari.
 
sasa huoni mada hapo juu inahusu kkkt ambako wamezidi kwa michango mpaka kwenye jumuiya zake mitaani? Jifanye hutoi uone nini kitakutokea
Kwenye mada sijaona km kataja dhehebu!
Lkn mi naposali ss,na nilipotokea sijaona hii kitu ,sijui huko mliko wenzetu?
 
Hahahahaha watu mmeanza kutiririka sasa... kwa nini shule zao zinajengwa kwa sadaka na michango ya waumini (wakati mwingine hata kwa kuwalazimisha kuchangia), ila ada ni sawa kwa Wakristo na wasio Wakristo? Sasa kuna faida gani ya kuchangia? Watoto wa waumini wanafaidiakaje japo kwa uchache tu? Ni wenye pesa pekee ndiyo husoma shule hizo. Mfano ni Loyola nk!.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Elimu Bora ni ghali,Sasa hao watoto watakula chai na andazi hao walimu watalipwa laki 3.
School bus atalipa nani.
Wapi penye elimu Bora pakawa na ada ya kata.
 
mama tamuu ktk moja na mbili.

Tuanzisheni chama chetu cha mashoga wa mtandaoni.
Mi najitangaza kabisa.
Jamani eeh mimi Clepatina
ni mwanaume nina ndevu na misuli.
Nina tukalio tudogo tugumu,tukavu,tumekauka na kusinyaa
Wenzangu ni cute mke,kokakola ,mimihamadiweyupi, na ......

Sema wewe umetuzidi una kende kubwa sana hadi zinaogopesha
 
Back
Top Bottom