YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Ndio maana hapo sikupingi.KKKT mkuu.
YaaniPastor need a car let's contribute
John need a car let's pray.![]()
Kuna michango hadi inakera ila kutengwa sijawahi shuhudia kwa kweli.Ndio maana hapo sikupingi.
King Kong III atakuombeaShetani amenikamata kwenye suala la ngono
michango mfululizo inapozidi kipato huwa kero kwa washirika. Watu wanapangwa kutokana na vipato vyao. Ila tuseme ukweli tu siku hizi huwezi kwenda kanisani kama mfukoni hakuna kituhio sio sababu ya kutokwenda sababu kutoa ni hiari fanya kile moyo wako unaona amani japo kuna michango n lazima kutoa kama sadaka, fungu la kumi kuhusu ujenzi ni kwa ajili yako ww sasa utasali kwenye nyumba gani usipojenga!!!au hata kama n kuwasaidia wengine ujenzi n sawa kikubwa hamna anaekulazimisha.
Kwenda kanisani ni lazima .
Weee fungu la kumi na zaka usipotoa unaitwa unaulizwa kama una kazi kama unayo utatoa sababu kwanini haushiriki wanakupa warning ukiendelea kuto kutoa unatengwa.Kuna michango hadi inakera ila kutengwa sijawahi shuhudia kwa kweli.
Afu akiunganisha na ulabu shetani anakuwa mrembo sana. Imagine unaingia kanisani unaanza kuwatamani masista na wanakwaya wa sauti ya kwanza....Shetani amenikamata kwenye suala la ngono
Okay.Weee fungu la kumi na zaka usipotoa unaitwa unaulizwa kama una kazi kama unayo utatoa sababu kwanini haushiriki wanakupa warning ukiendelea kuto kutoa unatengwa.
Hakuna kipindi watu wanakimbia kama ukifikia wakati wa ujenzi mf. Church kwetu saivi Kuna ujenzi jengo lime cost almost m700 hivi watu wamekimbiaaaaOkay.
Sijawahi expirience hiyo kwa kweli.
Sema michango jamani imesababisha watu wengi wakae nyumbani.
Inasikitisha ila ukweli kanisa kwa sasa limegeuka pango la wanyang'anyi.
Neema ya bure imekua gharama kuipata.
Injili ya Yesu imegeuzwa biashara.
subiri jengo liishe hujui wametokea wapi.Hata ikiwa kweli nin a very narrow and limited scope, hilo nalo litathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Imani yako hiyo katika kuamini Mungu hayupo ni kwa sababu una a very narrow and limited scope ya nafsi na mwili wako kuyaona mambo.
Na pengine ukiupata uwezo huo utakuwa Lucifer mwenyewe.
Usiacheewewe ujue nitaacha kukubembelezea kwa bro angu extro jishaue





lakini hakuna ubaya mimi na wewe tukiunganisha madudu yetu jamani!! 


Nakwambia hivi, hoja iko nje ya mada, na mimi sijasema babu yangu alijua kweli, namaanisha siwezi kukosa points za kutetea kanisa kwa sababu hata mimi ni mtoto wa kanisani.inawezekana kwa alikuwa mchungaji ,hio haimaanishi kuwa aliijua Kweli.Halafu sijagusia chochote kuhusu mazuri ya Kanisa mkuu,
Nani kakwambia Mungu ana act solely kama the good buddy down the street?Hata ikiwa kweli nin a very narrow and limited scope, hilo nalo litathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na kiumbe chake chenye a very narrow and limited scope.
You are making my point without even knowing it!
Logical non sequitur.Kwa sababu ulimwengu si milele ndo maana unaona shida zipo.
Dunia ni makao ya mda mfupi ya Mwanadamu ili afanye matengenezo kabla ya mlango wa rehema kufungwa ili kuelekea kwenye umilele yaani kutokufa.
Hakuna kifo hakuna shida huko.Logical non sequitur.
Ukishakubali shida zipo, zipo tu. Suala la milele au si milele ni irrelevant.
Na huko kwenye umeilele hujathibitisha kwamba kupo.
Mpaka sasa hujathibitisha kwamba Mungu yeyote yupo nje ya hadithi tu.N
Nani kakwambia Mungu ana act solely kama the good buddy down the street?
Ingia miungu unayoijua na inayompinga, na kumbana na ghadhabu ya Mungu muweza wa yote.