Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Siwezi acha kwenda kanisani sbb,kwanza simfuati mtu,ukishalijua hili hupati shida..

Shida ni kuwa watu wengi hata hawajui kanisani wanaenda kufanya nn,hawajui wanaenuabudu ,wanaenda Kwa mazoea tu,...
Kajikuta mkristo basi anaenda kanisani km desturi
Hawa wanaweza kuacha ..
Umejibu vema

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Heri ya Jumapili kwa nyote.

Niende madani sasa.

Kwa nini uliacha kwenda kanisani mpaka leo hii? Ni nani au nini kilikufanya usiende tena kanisani? Mbona ulikuwa muumini mzuri tu na ulikuwa kiongozi wa vijana? Mbona ulikuwa kiongozi wa kwaya nk?

Unaweza ku share hapa sababu hasa iliyokupelekea ukaacha kwenda kanisani? Je, uliona ni usanii tu?

Karibu!

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Waumini tumchangie Mtumishi anunue gari ya kumsaidia katika shughuli za kanisa. Ili mimi nikitaka Gari naambiwa nisali
 
Msikitini ;-Nilichoka kutawadha hasa asubuhi halafu swala zinachosha sana asubuhi,dhuhuri,alasiri,magharib na usiku saambili!

Kanisani😛igwa tukio MOJA na askofu, mwenyekiti wa kanisa,mchungaji wangu MMOJA hivi,halafu kuna uzi mwembamba unaotenganisha Kati ya kumtolea Mungu na kuwachangia WATU wanaojiita watumishi wa Mungu!halafu usanii mwingi sana!!

Kuna mama MMOJA ALIKUA anakuja chuoni kuomba msaada kanisani, lakini walimfanya kuwa wa MWISHO kabisa kutangaza shida zake na sadaka kumchangia wakati tushatoa KWA hio akawa hapati kitu kivile! Nikajiuliza kwanini wasichote HAYA ma laki tunayotangaziwa KILA jumapili wakampa HATA kidogo,yule mama alikuja akafiwa na mtotoambae michango haikutosha kutibiwa pia yeye akafa na tukatangaziwa!HADI leo HUWA nahisi wanachuo NDIO tulimuua yule mama KWA kuendekeza sadaka ziende huko kkt makao makuu kuliko kumpa akatibiwe!!FAMILIA ILE ILIKUFA YOTE NA HAKUNA CHA MAANA TULIFANYA!NILIUMIA SANA!!

MAKANISA HAYA NI YA MCHONGO!!

JAMAA MMOJA FPCT NAE ANAJIFANYA KAJAZWA ROHO MTAKATIFU ALIKUA FUNDI!KUMBE ALIKUA ANANIIBIA CEMENT NA NONDO NA KUUZA NA KANISANI ANAHUBIRI!!

MSITUONE WAOVU TUMETOKA MBALI SANA!!!

NB

Namuomba Mungu nyumbani KILA siku asubuhi au jioni!!
Aseee! KATIKA Uzi huu, hii ni fundisho kubwa Sana
 
Msikitini ;-Nilichoka kutawadha hasa asubuhi halafu swala zinachosha sana asubuhi,dhuhuri,alasiri,magharib na usiku saambili!

Kanisani😛igwa tukio MOJA na askofu, mwenyekiti wa kanisa,mchungaji wangu MMOJA hivi,halafu kuna uzi mwembamba unaotenganisha Kati ya kumtolea Mungu na kuwachangia WATU wanaojiita watumishi wa Mungu!halafu usanii mwingi sana!!

Kuna mama MMOJA ALIKUA anakuja chuoni kuomba msaada kanisani, lakini walimfanya kuwa wa MWISHO kabisa kutangaza shida zake na sadaka kumchangia wakati tushatoa KWA hio akawa hapati kitu kivile! Nikajiuliza kwanini wasichote HAYA ma laki tunayotangaziwa KILA jumapili wakampa HATA kidogo,yule mama alikuja akafiwa na mtotoambae michango haikutosha kutibiwa pia yeye akafa na tukatangaziwa!HADI leo HUWA nahisi wanachuo NDIO tulimuua yule mama KWA kuendekeza sadaka ziende huko kkt makao makuu kuliko kumpa akatibiwe!!FAMILIA ILE ILIKUFA YOTE NA HAKUNA CHA MAANA TULIFANYA!NILIUMIA SANA!!

MAKANISA HAYA NI YA MCHONGO!!

JAMAA MMOJA FPCT NAE ANAJIFANYA KAJAZWA ROHO MTAKATIFU ALIKUA FUNDI!KUMBE ALIKUA ANANIIBIA CEMENT NA NONDO NA KUUZA NA KANISANI ANAHUBIRI!!

MSITUONE WAOVU TUMETOKA MBALI SANA!!!

NB

Namuomba Mungu nyumbani KILA siku asubuhi au jioni!!
Daaah brother suala la huyo mama limenitoa machozi sasa hizo hela zilikuwa na kazi gani? Hivi kuna hela inayoweza kulinganishwa na utu/uhai wa mtu?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Ni kumuamini pekee au na kufuata amri zake? Na amri zake unajua ni zipi?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Kumuamini kwanza.
Kufuata amri zake kunafuata baada ya kujua kwamba huwezi kushinda dhambi kwa nguvu zako pekee bali unamhitaji Mungu akusaidie.
Sadaka ya Yesu ilitosha kufuta dhambi zako na umetakaswa milele kama ukiamini.
Haushiki amri za Mungu/Haujitahidi kushika amri za Mungu ili uende mbinguni bali kwa kuwa wewe ni kiumbe kipya kilichopokea roho wa Mungu na kupokea asili ya Mungu hivyo unashika amri za Mungu (Kumpenda Mungu na jirani) kwa kuwa wewe una asili ya upya ambapo roho wa Mungu ameungana na roho yako.
Kifupi ni kwamba tukirudi agano la kale biblia inasema kuhusu habari za waliongatwa na nyoka Waliambiwa wamtazame nyoka na watapona.
Imani kwa hapa sio kumshika nyoka na kumpiga+kuangalia nyoka aliyeinuliwa,HAPANA bali ni Kuamini tu kwa kumuangalia nyoka aliyeinuliwa.
Matendo ya kushika sheria yanasaidia wale ambao sio waamini kuona mwenendo wetu ulivyo na kupitia matendo unaweza ukamshawishi mtu kutaka kujua imani yako na kujifunza.Kinyume pia ni sawa,matendo mabaya huwasukuma wasioamini mbali na Kristo.
Waefeso 2:6-10 inaonesha kwamba "tumeokolewa (tulioamini) kwa imani wala si kwa matendo ili tusije tukajisifu"
Matendo (amri) ni muhimu kufuata kwa faida ya wanadamu/kuwavuta wanadamu kwa Kristo.
 
Kumuamini kwanza.
Kufuata amri zake kunafuata baada ya kujua kwamba huwezi kushinda dhambi kwa nguvu zako pekee bali unamhitaji Mungu akusaidie.
Sadaka ya Yesu ilitosha kufuta dhambi zako na umetakaswa milele kama ukiamini.
Haushiki amri za Mungu/Haujitahidi kushika amri za Mungu ili uende mbinguni bali kwa kuwa wewe ni kiumbe kipya kilichopokea roho wa Mungu na kupokea asili ya Mungu hivyo unashika amri za Mungu (Kumpenda Mungu na jirani) kwa kuwa wewe una asili ya upya ambapo roho wa Mungu ameungana na roho yako.
Kifupi ni kwamba tukirudi agano la kale biblia inasema kuhusu habari za waliongatwa na nyoka Waliambiwa wamtazame nyoka na watapona.
Imani kwa hapa sio kumshika nyoka na kumpiga+kuangalia nyoka aliyeinuliwa,HAPANA bali ni Kuamini tu kwa kumuangalia nyoka aliyeinuliwa.
Matendo ya kushika sheria yanasaidia wale ambao sio waamini kuona mwenendo wetu ulivyo na kupitia matendo unaweza ukamshawishi mtu kutaka kujua imani yako na kujifunza.Kinyume pia ni sawa,matendo mabaya huwasukuma wasioamini mbali na Kristo.
Waefeso 2:6-10 inaonesha kwamba "tumeokolewa (tulioamini) kwa imani wala si kwa matendo ili tusije tukajisifu"
Matendo (amri) ni muhimu kufuata kwa faida ya wanadamu/kuwavuta wanadamu kwa Kristo.
Mmmh! Wewe una neno tofauti mno...! Unamfahamu Yeye ashindaye?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Kumuamini kwanza.
Kufuata amri zake kunafuata baada ya kujua kwamba huwezi kushinda dhambi kwa nguvu zako pekee bali unamhitaji Mungu akusaidie.
Sadaka ya Yesu ilitosha kufuta dhambi zako na umetakaswa milele kama ukiamini.
Haushiki amri za Mungu/Haujitahidi kushika amri za Mungu ili uende mbinguni bali kwa kuwa wewe ni kiumbe kipya kilichopokea roho wa Mungu na kupokea asili ya Mungu hivyo unashika amri za Mungu (Kumpenda Mungu na jirani) kwa kuwa wewe una asili ya upya ambapo roho wa Mungu ameungana na roho yako.
Kifupi ni kwamba tukirudi agano la kale biblia inasema kuhusu habari za waliongatwa na nyoka Waliambiwa wamtazame nyoka na watapona.
Imani kwa hapa sio kumshika nyoka na kumpiga+kuangalia nyoka aliyeinuliwa,HAPANA bali ni Kuamini tu kwa kumuangalia nyoka aliyeinuliwa.
Matendo ya kushika sheria yanasaidia wale ambao sio waamini kuona mwenendo wetu ulivyo na kupitia matendo unaweza ukamshawishi mtu kutaka kujua imani yako na kujifunza.Kinyume pia ni sawa,matendo mabaya huwasukuma wasioamini mbali na Kristo.
Waefeso 2:6-10 inaonesha kwamba "tumeokolewa (tulioamini) kwa imani wala si kwa matendo ili tusije tukajisifu"
Matendo (amri) ni muhimu kufuata kwa faida ya wanadamu/kuwavuta wanadamu kwa Kristo.
Je, kufanya ngono na mwanamke yaani kuzini, ni dhambi?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom