Kwanini Tanzania ndiyo nchi rahisi zaidi duniani kwa mgeni kuishi kienyeji bila vibali na asichukuliwe hatua yoyote?

Kwanini Tanzania ndiyo nchi rahisi zaidi duniani kwa mgeni kuishi kienyeji bila vibali na asichukuliwe hatua yoyote?

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,618
Reaction score
10,789
Nimefuatilia sana mienendo ya nchi yetu na nikagundua jambo la kusikitisha:

Tanzania imekuwa kama 'shamba la bibi'. Yaani ni nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kama mtalii, akapanga nyumba, akafungua kijibiashara au kuanza kazi za 'consultancy', na akaishi miaka mitano bila kuguswa na Uhamiaji.

Ukienda nchi jirani kama Kenya au kule Ulaya na Marekani, sheria za Uhamiaji ni msumeno—huwezi kukaa wiki mbili bila vibali vyako kueleweka. Lakini hapa kwetu Dar, Arusha, au Zanzibar, watu wanaishi tu kwa 'kona kona' na kujuana na wenyeji.

Yaani hapa unasaka sijui mualiko, nikifika ulaya ntaishi vipi gharama za nyumba kula nini,. Aisee bongo utawala sana. Chipsi 1500, chumba laki mpaka laki 4 safi kabisa. Unaingia kkoo pale unakula mkataba au sinza kodi.
Yaani tuseme yote Bongo ni a place to be. Hii ni world destination na kama vipi watu waje kwa wingi kuwekeza jamani.
 
Nimefuatilia sana mienendo ya nchi yetu na nikagundua jambo la kusikitisha:

Tanzania imekuwa kama 'shamba la bibi'. Yaani ni nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kama mtalii, akapanga nyumba, akafungua kijibiashara au kuanza kazi za 'consultancy', na akaishi miaka mitano bila kuguswa na Uhamiaji.

Ukienda nchi jirani kama Kenya au kule Ulaya na Marekani, sheria za Uhamiaji ni msumeno—huwezi kukaa wiki mbili bila vibali vyako kueleweka. Lakini hapa kwetu Dar, Arusha, au Zanzibar, watu wanaishi tu kwa 'kona kona' na kujuana na wenyeji.

Yaani hapa unasaka sijui mualiko, nikifika ulaya ntaishi vipi gharama za nyumba kula nini,. Aisee bongo utawala sana. Chipsi 1500, chumba laki mpaka laki 4 safi kabisa. Unaingia kkoo pale unakula mkataba au sinza kodi.
Yaani tuseme yote Bongo ni a place to be. Hii ni world destination na kama vipi watu waje kwa wingi kuwekeza jamani.
Rushwa
 
Na ujeuri hatuna + kushobokea wageni🙌🏾
Kariakoo ina maduka na godown ya wachina kibao tu! Binafsi huwa najiuliza swali kama hilo!
Kuna mwanasheria unammudu huko dada ,ili niwe na uhakika wa kushuka ya afande RPC na ICP mikoa yote wakipitia kwa wakaguzi na MaOCS ili ada za watoto waende shule ?

Nihakikishie mapema ,nishuke utaratibu ulivyo mpaka ujue ukiona wamedakwa na kutangazwa ujue ni masikini walikuwa safarini sio wale wenyewe waliobeba chochote kitu kuja ugenini maana mgeni ukirimiwa
 
Ni kwamba hapa bongo hakuna cha maana. Ulaya ukiishi utavuta hewa bure, utachukua kazi za watu bure, utatumia mifumo yao free, barabara safi, umeme usiokatika, maji yasiyokauka, hakuna mgawo, usafiri safi wa uhakika, sio kwenu huku foleni posta hadi mbezi, ukiishi ulaya kila kitu uhakika. Mabasi hayana utingo, ni dereva pekeake anakufungulia mlango anasaidia kila kitu. Bongo daladala dereva amelewa. anaendesha anaongea na simu.

ulaya maziwa,mayai minyamq kama yote. huku bongo fyooo

ulaya dah kwa ambao hampajui pole yenu.

ulaya ukimuangalia sana mwenyeji unaitiwa polisi, kwamba... "ninamashaka na huyu ninamshaka naye" ..polisi watakuhoji watagundua na migration hawana utani. Huku kwenye wamevaa miguo yao yaani...

kule europa viongozi wana kitu inaitwa right attitude sio huku jitu lina magari 10, mashamba kibao, bado linaiba, halina hutuma, Europe is Europe bwana. Nikiangalia matukio ya O29 nachoka kabisa. Yaani sinema sio sinema. Nchi maskini maskini maskini yaani hata ukichinja kuku unasema kwa jina la Mola mwenye kurehemu, mwenye nguvu, nachinja kwa jila lake. Huku unachinjana kama ....jdbdv🔗🏧🐃✅👇🏧😆📽️ yaani inatia

Jirani yangu mjerumani tumeishi flat moja yenye wapangaji wa3, hatujuani, mnapishana kwenye makorido umbea hakuna.

huku kwetu kazi kufuatiliana. Kule gonga simu moja tu 911 huku kazi kunyanduana tu.

Hata jirani akihisi kuna mtafaruku jirani anaita 911 chap amekusaidia, huku kwenu wezi wakiingia kwako jirani atakauka baadae anakuja na gongo umeshaibiwa.

Misiba huku wanaa watu kula na kusaza kwa mfiwa mnaitia hasara, naye anakubali. Kule watu wachache tuu.

Ulimwengu uliostaarabika, huku kwenu na waarabu wenu na vilemba kazi kunyanduana tu.

Ulaya ni ulaya aikuambie mtu. Kiongozi akikosea anaachia ngazi, huku kwenu kila utawala yupo, kila miaka na miaka yumo, Mtu anatawala 10yrs kweli? 40yrs? seriously.

Wa Nigeria wajanjawajanya wamejaa bongo kwa wajinga.

Ukiwa kweny madaladala unawasikia wakongo, huko kongo kwenyewe wabongo wamejaa. ndio maana traole akasema Africa iwe moja tu mambo yaishe. hakuna namna
 
Back
Top Bottom