Kwanini siku Mjumbe Maalum wa Kumuwakilisha Rais Samia duniani ni Rais Mstaafu Kikwete na siyo Makamu Mipango au Premier Majaliwa?

Kwanini siku Mjumbe Maalum wa Kumuwakilisha Rais Samia duniani ni Rais Mstaafu Kikwete na siyo Makamu Mipango au Premier Majaliwa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,006
Reaction score
126,388
Wiki hii nzima alikuwa anazurula tu hapa Kampala Uganda na baadae akaenda Gulu na muda si mchache kaonekana huko nchini Ethiopia na kote anapeleka tu Ujumbe Maalum wa Rais Samia.
 
Wiki hii nzima alikuwa anazurula tu hapa Kampala Uganda na baadae akaenda Gulu na muda si mchache kaonekana huko nchini Ethiopia na kote anapeleka tu Ujumbe Maalum wa Rais Samia.
Kwanza sioni mantiki ya kumtuma eti VP au PM akapeleke ujumbe wa Rais,au Rais wa Zanzibar hiyo itakuwa ni dharau.

Tofautisha Kumuwakilisha Rais na kumtuma Kwa shughuli ndogo ndogo kama hiyo ya Kampeni ya Janabi.

Mwisho juzi tuu hapo VP alikuwa Angola Kumuwakilisha Rais kwenye Mazishi.

Wiki Moja kabla alikuwa Zimbabwe ,Sasa wewe unaongea nini hasa?

Ni vile popoma hujawahi kuwa na akili na unafanya fitina Kwa waliokutuma.
 
Kwanza sioni mantiki ya kumtuma eti VP au PM akapeleke ujumbe wa Rais,au Rais wa Zanzibar hiyo itakuwa ni dharau.

Tofautisha Kumuwakilisha Rais na kumtuma Kwa shughuli ndogo ndogo kama hiyo ya Kampeni ya Janabi.

Mwisho juzi tuu hapo VP alikuwa Angola Kumuwakilisha Rais kwenye Mazishi.

Wiki Moja kabla alikuwa Zimbabwe ,Sasa wewe unaongea nini hasa?
Wapumbavu hamtaisha Tanzania.
 
Back
Top Bottom