Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Heshima mbele, mambo mengine mnapoyasikia muwe na wenyewe mjaribu kuyafuatilia kama yana ukweli, Malecela sio mtu wa anasa hata siku moja, na besides uamuzi wa nyumba ya ofisa yoyote uablozini hutolewa na balozi, sasa kama alikuwa na kinyongo na hiyo nyumba si angekataa tu kusiani mkataba wa kuilipia na huyo ofisa asingeafnya kitu chochote, halafu hebu njoo bongo uone nyumba anayokaaa Malecela, Sea View halafu uende nyumba za mawaziri wakuu wastaaafu wengine uone kama hayo maneno yako yanaweza kuwa ni kweli, na kwa taarfia yako tu ni kwamba ameombwa sana apewe nyumba nzuri zaidi lakini amekuwa akikataaa, haya mkuu ni majungu, nijuavyo ni kuwa Malecela akiwa London, ndiye balozi pekee aliyekuwa akiwafanyia sherehe wananchi kuliko balozi yoyote yule aliyewahi kuwa balozi pale.
Wa-Tanzania tuache majungu, maana haya hayalisaidii taifa kwa lolote.
Asante Mkuu,
Kama nilivyosema kwenye post ya awali, ni mambo ambayo niliyasikia. Kwa hiyo yanaweza kuwa yalikuwa ni mepesi mepesi tu.
Asante, kwa mealezo yako anyway.