Kwani mpangaji sianaishi kwa kulipa KODI???Usikute huyu jamaa ndio mwenye hii nchi🤔 sisi ni wapangaji wake
Wote Samia na Rostam wanatafuta fursa! Samia anatafuta fursa akijificha nyuma ya mgongo wa Rostam.Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Mkuu Vatican na Roma ni nchi mbili tofauti..Sijaongelea mambo ya kimamlaka ila nimesema ukienda Vatican iko Rome na huenda Rostum anaenda kufanya Shopping Rome.
Na Rome iko Italy.
Kwahiyo ukifika Vatican unapigwa marufuku kufanya Shopping Rome?Mkuu Vatican na Roma ni nchi mbili tofauti..
VATICAN ni nchi tofauti..
Unaifahamu LESOTHO..
SI iko ndani ya South Africa?
UNajua ya yenyewe ni Mchi iliyo ndani ya nchi?
hawa ndio mataicoon wanaamua nani, wakati na nini kifanyike ili mambo yaende hawa matajiri ndio wenye nchi mkuu.Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Tunalipa mkuu, tena tulipangishwa kwa elf 50 ila tunatoa lakiKwani mpangaji sianaishi kwa kulipa KODI???
Tabu sanaTatizo hata wakifa wanarithisha madaraka kwa wajukuu wao
Mleta mada hebu soma hapa kwanza
View: https://twitter.com/eastafricatv/status/1757008821107454017?t=cDt3-UV9RG50nwpbG6cpHA&s=19
Noma sana. Hata leo Warioba kazungumzia hilo, juu ya Lowassa kukataliwa na Nyerere. Inaonekana Lowassa alikuwa na kitu chenye utata, kwanini Nyerere alimkataa?Huyu aliweka hela kwa hao watu wawili mmojawapo abebe nchi ila mwalimu akachana mkeka wake
🤣 noma sanaUsikute huyu jamaa ndio mwenye hii nchi🤔 sisi ni wapangaji wake
Watu wa bara wanaona akishakua mweusi tii na kujua kilugha basi yeye ndio Mzalendo,Mtanzania halisi. Hii nchi Ina historia na imetoka mbali. Kitendo cha mwanamke mzanzibari kua raisi tena bila tabu yoyote ni kitu kikubwa,ila sababu washamba wengi wasiojua mambo yanavoenda ndio wamebaki kuzua theory mbalimbali ambazo ni ziko mbali na ukweli wenyewe.Ukisikia ntu ya mfumo ndo hao sasa! Au unadhani usalama wote ni wamatumbi tu???
Mbona vitu vingine ni vyakujiongeza easy tu.
Miaka hiyo ya 1995, ilikuwa ni enzi ya Mwinyi. Rostam yupo kwenye mishemishe toka enzi za Mwinyi mpaka leo. Kila ishu, kila dili, kila kiongozi, kila skendo, Rostam jina lake lipo.Kikwete Jana amezungumza ni Rostam, Samweli sitta na Edward Lowassa ndio walimfuata akagombee urais 1995.
Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Mkapa.
Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Kikwete.
Rostam baada ya kuondoka pia alirudi wakati wa utawala wa Magufuli.
Na sasa yupo katika utawala wa Samia.
Na popote nje ya nchi atakapokuwepo Samia basi Rostam humkosi.
Jakaya alipoingia akaachana nao,jakaya akamuweka magu, rostam alijua nini kitafuata,akahamishia biashara Kenya,karata za siasa magu akamtongoza rostam arudishe biashara tz,Leo tunasongaIla si walibeba