Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Azizi?

Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Wote Samia na Rostam wanatafuta fursa! Samia anatafuta fursa akijificha nyuma ya mgongo wa Rostam.
 
Sijaongelea mambo ya kimamlaka ila nimesema ukienda Vatican iko Rome na huenda Rostum anaenda kufanya Shopping Rome.

Na Rome iko Italy.
Mkuu Vatican na Roma ni nchi mbili tofauti..
VATICAN ni nchi tofauti..

Unaifahamu LESOTHO..
SI iko ndani ya South Africa?
UNajua ya yenyewe ni Mchi iliyo ndani ya nchi?
 
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
hawa ndio mataicoon wanaamua nani, wakati na nini kifanyike ili mambo yaende hawa matajiri ndio wenye nchi mkuu.
 
Ukisikia ntu ya mfumo ndo hao sasa! Au unadhani usalama wote ni wamatumbi tu???
Mbona vitu vingine ni vyakujiongeza easy tu.
Watu wa bara wanaona akishakua mweusi tii na kujua kilugha basi yeye ndio Mzalendo,Mtanzania halisi. Hii nchi Ina historia na imetoka mbali. Kitendo cha mwanamke mzanzibari kua raisi tena bila tabu yoyote ni kitu kikubwa,ila sababu washamba wengi wasiojua mambo yanavoenda ndio wamebaki kuzua theory mbalimbali ambazo ni ziko mbali na ukweli wenyewe.
 
Kikwete Jana amezungumza ni Rostam, Samweli sitta na Edward Lowassa ndio walimfuata akagombee urais 1995.

Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Mkapa.

Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Kikwete.

Rostam baada ya kuondoka pia alirudi wakati wa utawala wa Magufuli.

Na sasa yupo katika utawala wa Samia.

Na popote nje ya nchi atakapokuwepo Samia basi Rostam humkosi.
Miaka hiyo ya 1995, ilikuwa ni enzi ya Mwinyi. Rostam yupo kwenye mishemishe toka enzi za Mwinyi mpaka leo. Kila ishu, kila dili, kila kiongozi, kila skendo, Rostam jina lake lipo.
 
Back
Top Bottom