Ila si walibebaHuyu aliweka hela kwa hao watu wawili wabebe nchi ila mwalimu akachana mkeka wake
Alichukua mkapa, nenda show more soma hadi mwishoIla si walibeba
This is a killer comment🤣Usikute huyu jamaa ndio mwenye hii nchi🤔 sisi ni wapangaji wake
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Najua, namaanisha miaka ya baadaeAlichukua mkapa, nenda show more soma hadi mwisho
Na ndiye aliyeirahisisha safari yake. Huyu Gabachori ana siri nzito na urais wa Samia.Mu Irani huyo.Wairani wanajua kula na vipofu. Imagine Rostam alikuwa anapatana na Magufuli pia.
Alizaliwa wapi?Mburushi wa Iran huyo.Sema waarabu wa Igunga,Bukene,ukenyenge wanakijua kisukuma na walishaassimilate.Sema ni ili malengo yao ya kibiashara yatimie.
Nikiwa mkubwa nitakuwa kama RostamAlipo tupo.
View attachment 2902057
amsaidie rahisi!!Rostam ni mtu muhimu hata kwenye kiingereza anakifahamu vizuri na ana exposure. Acheni amsaidie rahisi.