ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,556
- 3,775
Kwanini amekuwa Godfather? amewezeshwa na nani? nani yuko nyuma yake?
Kwanini amekuwa Godfather? amewezeshwa na nani? nani yuko nyuma yake?
Fungua code?
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Kuna siri gani lo??
Angalao wewe umetufafanulia vizuri.View attachment 2904104
Rostam ndiye Mkuu wa Kikosi binafsi cha rais cha mambo ya Ulinzi wa Kiuchumi, Biashara, Uwekezaji na Mahusiano ya Kimataifa.
Kumbe!! Duhh!
Kuna wakati akili ndogo zinafanana kabisa na Akili za Wachawi!Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
KONTAWA....anacheza karata zake vyema
Hujaelewa shwari jamaa kauliza kwa nini kila anapokuwa rais naye yupo,majukumu yake ni nini?Kuna wakati akili ndogo zinafanana kabisa na Akili za Wachawi!
Watu wenye Husda na Roho Mbaya.
Bwn Rostam Azizi walau ni Mtanzania Kuna shida gani?
Mtu Huyu ni Mfanyabiashara mwenye uwezo Mkubwa wa Kuiwakilisha Sekta Binafsi kwenye Mpango wa Maendeleo wa Serikali.
Ebu fikiri
TAIFA gas ni Biashara inayoendeshwa na Bwn Rostam pamoja na Serikali.
Ni Mtanzania gani mwingine anayeweza kwenda pale Norway akaongeq Science ya Gas lets say LPNG na akatafsiri hapo Biashara?
Norway ni Mabingwa wa kuchimba Gas na Mafuta.
Lugha tu ya Upstream na Downstream ya Mafuta na Gas kwa wafanyabiashara wa kawaida ni misamiati mwanzo mwisho!
Tujengeane uwezo na tupendane mtu akipata fursa ya kukua tuache kuwanga!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
huyu ndugu ni mfanyabiashara wa gesi.Ziara hii iliwapeleka hadi Norway nchi yenyè uzoefu wa kuchimba mafuta na gesi.Makubwa Rostan Rome kaenda kufanya nini?
Huyo ndio Mfanyabiashara Nguli na mshauri wa kimataifa. Huyu ni rafiki ya viongozi wote wa Afrika Mashariki- Uhuru Kenyatta, Samia, Kikwete , Mwinyi na wengine wengi. Tunatakiwa kujifunza toka kwake, uadui na viongozi wakuu hauna faida kwa biashara yako. Tenda kama kila kiongozi mkuu anavyotaka na wewe utafanikiwa. Tuache wivu na tujifunze mazuri.Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Acha kupotosha mchana kweupe!!!Rostam Aziz aliwanunulia Vyombo vya muziki Kwaya ya KKKT Kinondoni 😂
HayaAcha kupotosha mchana kweupe!!!
Huyu ni nani?Kuna huyu mjasilianjaa naye yuko kwenye huo msafaraView attachment 2904949