kinondoniilala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 2,189
- 3,142
Ameamua kujipanga kukemea hadharani wale wote wanaojihusisha na rushwa na ufisad. Amedai kuwa wanalitia aibu taifa letu.
Hiyo nimeipata kutoka kwa wapambe wa Lowassa a.k.a team Lowassa kuwa mzee wao kaamua kuja na style hiyo ya kukemea rushwa na ufisadi pengine labda inaweza kumtoa kimasomaso kwenye kinyang'anyiro cha urais 2015 October.
You made my day...! Mbavu zangu mie...!Haya baba Lowassa Fisadi Mkuu wa TZ...!