Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Nadhani mleta mda anataka kujaza comments zetu tu hapa kwenye saver..ila Mh. Lowasa hajawahi na hatawahi wala kuweza kukemea ufisadi hata mara moja. Na ikitokea mmh atakuwa kasemewa sio yeye.
 
natoa laki moja au kifungo cha ban ya mwezi
mleta mada weka video au audio clip ya hayo maneno ya lowasa
 
Kwa hilo ni kama ana kumbuka shuka wakati kumeshakucha!
 
Lowassa akithubutu kutamka hayo mnikate vidole vyote.

Huyu mleta mada amevurugwa.

Ni kweli ila siyo kwa Lowassa. Hana na hapaswi kuwa naujasiri huo.

Nadhani mleta mda anataka kujaza comments zetu tu hapa kwenye saver..ila Mh. Lowasa hajawahi na hatawahi wala kuweza kukemea ufisadi hata mara moja. Na ikitokea mmh atakuwa kasemewa sio yeye.
Kwa hiyo akitamka mtafanyaje? Mtampa nchi?
 
Mummy Labda asimame juu ya mlima kilimanjaro akiwa anakemea na inabidi ajikane kwanza. Vinginevyo akitumia jukwaa la kawaida nchi itatikisika.
 
Kwa hiyo akitamka mtafanyaje? Mtampa nchi?

Labda nafasi ya kugombea ataipata tu kwa mfumo wetu huu wa Chama Chetu mwenye nacho huongezewa..ila kwa sasa haijulikani atakaye pewa nchi japo mfumo na taratibu wa vyombo vinavyosimamia uchaguzi unatupa advantages za ushindi wa Chama chetu
 
Jk ndio anafaa kukemea rushwa

Hapa anamsifia na kumpigia debe! Baadaye fitna kama kawa! 1425982885585.jpg

Hapa hawakukutana barabarani!
1425983030969.jpg
 
Atueleze ni kwanza nani aliyeleta Richmond Tanzania, A company that was not a company kwanza ndio aanze mambo mengine
 
Back
Top Bottom