OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Hakuna kitu anachokichukia Lowassa kama rushwa..... Nafkiri unakumbuka alivyowashughulikia wakurugenzi wala rushwa alipokuwa PM
Hakuna kitu anachokichukia Lowassa kama rushwa..... Nafkiri unakumbuka alivyowashughulikia wakurugenzi wala rushwa alipokuwa PM
Tatizo la ushabiki wakisiasa hupofusha macho na uelewa.kama lowasa si mwizi wa richmond kwann alificha wezi?si mzalendo
Ameamua kujipanga kukemea hadharani wale wote wanaojihusisha na rushwa na ufisad. Amedai kuwa wanalitia aibu taifa letu.
Hiyo nimeipata kutoka kwa wapambe wa Lowassa a.k.a team Lowassa kuwa mzee wao kaamua kuja na style hiyo ya kukemea rushwa na ufisadi pengine labda inaweza kumtoa kimasomaso kwenye kinyang'anyiro cha urais 2015 October.
Kwa hiyo akitamka mtafanyaje? Mtampa nchi?
Lowasa katika vitu vyote kinachomnyima sifa ni kushindwa kukemea Rushwa kwa dhati au ufisadi.Lowasa hayo matatizo hayamhusu.Na ndiyo matatizo makubwa ya nchi hii,,WIZI,RUSHWA na UFISADI.sasa hajishughulishi na hayo halafu anataka Urais.
Ameamua kujipanga kukemea hadharani wale wote wanaojihusisha na rushwa na ufisad. Amedai kuwa wanalitia aibu taifa letu.
Hiyo nimeipata kutoka kwa wapambe wa Lowassa a.k.a team Lowassa kuwa mzee wao kaamua kuja na style hiyo ya kukemea rushwa na ufisadi pengine labda inaweza kumtoa kimasomaso kwenye kinyang'anyiro cha urais 2015 October.
Fuateni maneno yangu, matendo yangu niachieni mwenyewe...:smile-big:
Jk ndio anafaa kukemea rushwa
chonde ucmtaje kinaa tembo wakisikia hilo jina la kinana wanaanguka kwa hofu kawaua kweliliKw usafi upi alionao EL asimame kukemea ufisadi? Yatampata yale ya Kinana na tembo wetu!
yanyuma cio ndwele ameacha rushwa