kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Ndani ya CCM unakemea UFISADI? Watu wanapiga deal ndani ya Ikulu, wenye kujinadi kuwa wao ni wasafi ndo wezi wakubwa tena wengi wao wako kwenye Cabinet!!! Lowassa kukaa kimya kunawafanya Jamaa wamuogope na wako tayari kuwaachia CHADEMA na Ukawa nchi kuliko Lowassa... Wamemshughulikia Komba huku wao wakigawana ngawira za ESCROW live bila Chenga .. Lowassa mbona hayuko kwenye List ya EPA, ESCROW, Mikataba ya Madini, Wauza Sembe??? ... Angalia mambo kiundani kiuhalisia kabla ya kuropoka ndugu ... JKN mwenyewe alizimishwa baada ya kuja kuujua ukweli...
Ha! Mkuu kumbe Komba kashughulikiwa! Hebu funguka vizuri, alikuwa na siri gani nzito hadi ashughulikiwe?