Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,738
- 42,831
Hakuna kitu anachokichukia Lowassa kama rushwa..... Nafkiri unakumbuka alivyowashughulikia wakurugenzi wala rushwa alipokuwa PM
kweli mkuu El ni jembe lisilipenda ufisadi yeye pamoja na best zake CHENGE, ROSTAM, KARAMAGI N.K
tuwape sapoti.