Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Hivi magufuli alishazungumzia escrow na hasa wale waliochukulia mgao kupitia stanbic.
 
CCM AKILI ZAO KAMA ZA WATOTO WA MIAKA SABA KWENDA CHINI, HIYO NDIO MNAONA HOJA YA MSINGI MUMEMFANYA ATA DR SLAA ANAONEKANA ZUZU KAMA NYIE KWAJILI HA HELA,

HUYO MAGUFULI YEYE ANAONGELEA UFISADI UPI? MBONA HAJAWAI KUTAJA ESCROW !! AMBAYO NAMBA MOJA YUMO WALA ATA KUTAMKA NENO ESCRO , MBONA HAJAWAI KUTAJA HUWIZI WA WANYAMA PORI AMBAO KINANA YUMO , MBONA HAJAWAI KUZUNGUMZIA EPA, ?

ALAFU MKAAMBIWA HAMNA AKILI MNAANZA KUTUKANA, Ata Kama unalipwa laki tano kuandika ujinga , WEWE NI ZUZU TU
 
Je babaako alishawahi kukuelezea ulivyopatikana?kama mpaka umri huo ulionao hajakueleza unategemea nn kutoka kwa Lowasa?
 
Ni swali ambalo huwa linanitatiza sana, labda wadau mnaweza kunikumbusha ni lini, tuseme tangu baada ya uchaguzi mkuu uliopita au hata kabla huyu mjamaa ambaye inadaiwa anautaka urais kwa udi na uvumba, amezungumzia ufisadi.

Ni katika kikao, mkutano au hafla gani amewahi kulizungumzia suala hilo ambalo majority ya Watz linawakera na linaashiria kutuletea machafuko huko tuendako.

Jibu la mara moja linaloonekana ambalo ni plausible ni kwamba mtu huyu binafsi kaguswa na ufisadi, ni mtuhumiwa wa kansa hiyo, hivyo hawezi kulizungumzia kwa kulikemea kwa nguvu zote, labda wakati anafanya hivyo, macho yake ayaelekeze chini.

Wasiwasi wangu ni kwamba akitiunga Ikulu, hawezi kulishughulikia suala hilo, atakuwa kama huyo mwenzake aliyepo sasa hivi. Ni nadra sana JK kuzungumzia ufisadi katika hafla za hadhara, hata katika kampeni zake za 2010, mada hii alikuwa anaikwepa sana. Tusisahau alikwepa midahalo na akina Slaa na Lipumba bila shaka kukwepa suala la ufisadi ambalo lazima lingeibuliwa.

Hivyo EL akitinga Ikulu, ina maana kwamba kwa miaka 20 suala la ufisadi hapa nchini halitakuwa linapiganwa kwa dhati.

What a waste of time. Watz tuamke, tusidanganyike hapa.
Wewe jipongeze tu, safari hii MAJIZI ya ESCROW, MEREMETA, KAGODA, EPA n.k na yenye kujimilikisha migodi, mbuga za wanyama n.k IKULU BASI TENA.
CCM MUST GO, AND FOR GOODS
 
Ufisadi sio wa kuzungumzia.Ufisadi ni wa kupigwa vita.

Uhuru Kenyatta wakati anagombea urais mwaka 2013 alikuwa ana tuhuma za ufisadi.Vipaumbele vyake wakati wa kampeni vilikuwa ni afya bure kwa wakina mama wazazi na elimu bora.
Alipoingia madarakani alianzisha vita kali ya ufisadi na kuwafukuza wafanyakazi 150 wakiwamo mawaziri watano na magavana 10.
Kenya sasa ni nchi ya uchumi wa kati.

Tanzania Mwl Nyerere na Sokoine walikuwa wanapambana na ufisadi kwa vitendo zaidi.

Ufisadi unaoitafuna Tanzania saa hizi ni wa kimfumo na kimtandao.Maneno matupu kamwe hayawezi kumaliza ufisadi wa aina hii.Dawa ya ufisadi wa Tanzania ni maamuzi magumu na sio kutoka povu majukwaani.
 
Back
Top Bottom