Kama hujui rushwa mtazame Edward ngoyai Lowasa, rushwa ina nywele nyeupe
Ndo siasa za bongo! Full comedy!
Nimeipenda, nyani amkemea tumbili aache kula mahindi
Ameamua kujipanga kukemea hadharani wale wote wanaojihusisha na rushwa na ufisad. Amedai kuwa wanalitia aibu taifa letu.
Hiyo nimeipata kutoka kwa wapambe wa Lowassa a.k.a team Lowassa kuwa mzee wao kaamua kuja na style hiyo ya kukemea rushwa na ufisadi pengine labda inaweza kumtoa kimasomaso kwenye kinyang'anyiro cha urais 2015 October.
Kwa hiyo akitamka mtafanyaje? Mtampa nchi?
Nani ampe........
Labda liwe suala la mwindaji haramu kugeuka kuwa Game Ranger!
Ameamua kujipanga kukemea hadharani wale wote wanaojihusisha na rushwa na ufisad. Amedai kuwa wanalitia aibu taifa letu.
Hiyo nimeipata kutoka kwa wapambe wa Lowassa a.k.a team Lowassa kuwa mzee wao kaamua kuja na style hiyo ya kukemea rushwa na ufisadi pengine labda inaweza kumtoa kimasomaso kwenye kinyang'anyiro cha urais 2015 October.
Mwizi anamfukuza jambazi
Lowasa akemee rushwa? Kwani mwisho wa dunia umefika?
propaganda za kitoto hizo... Lowassa hana muda wa kuongelea Obvious ...
Hana muda wa kukemea ufisadi eti eeh! Ila ana muda wa kupiga ufisadi tu au?