Nilisoma O level Tambaza na A level Ilboru, Tambaza bang ilivutwa wazi wazi summit, ila wengi wa wavuta bangi wa Tambaza, walitoka na DIV 1 kali!, kuna akina sisi tulitamani nasi DIV 1, hivyo nilipoenda Ilboru, in seach of DIV one, nikajaribu!, very unfortunately, mimi ilinituma vibaya!, badala ya ku concentrate, ilinituma mambo mengine!, na shule yetu ilikuwa boys only!. Ilibidi kuingia mtaani kutafuta na nikikosa nilitembea hadi Mianzini kwenda "kununua!". Just imagine pori lile la Ilboru, umbali ule mpaka town, usiku wa manene, mwanafunzi ana cross boda peke yake!.
Wenzangu wakanieleza bangi inakutuma kile unachofikiria, nikajaribu tena na tena kujifikirisha masomo, ile kupiga tuu puff ya kwanza, mawazo yale yale mabaya yalinijia hivyo nikaacha!. Ilifikia kiwango cha hata nikiisikia tuu harufu mwingine anavuta, mwili unasisimka kuhitaji "mambo yetu yalee!" hivyo nikaacha kabisa, unless once in a while for pleasure purpose only!.
Ila hao hao waliokuwa wavuta bangi wa enzi hizo, sasa hivi wengi wako very successful men!.
Wanafunzi wanaosoma boys only, wanakabiliwa na tatizo la kisaikolojia liitwalo "male chauvinism", wanapontaka msichana, hujiona its their right kumpata, na akikataa pia its right kumbaka!, na wengi hubakwa hawasemi, hawalalamiki na baadhi ya mahusiano huanza kwa kumbaka ndipo kisha hupenda!.
Pia kuna type ya wanawake wananatatizo liitwalo "masochisim" hivyo huitwa macho women, hawa huderive sexual satisfaction kwa kufanyiwa violance kama kubwakwa!, hivyo hata untake vipi, hakubali, ila anajilengesha ili utumie force, ikiwemo kumvutia chumbani kwako, kumvua nguo kwa nguvu, akiona zinataka kuchanika, anaachia zitoke, then anaishikilia pichu sometimes unaichana!, akilala kitandani, anafunga miguu ufanye kazi kuifungua!, ukifanikiwa, utamnote she enjoys very much!, tena anajiachia haswa!. Wanawake hawa wanataka kuwa "concqured", ili wamkubalie mtu, lazima awe "the conqueror", hawa "male chauvinism", wakikutana na "macho women" wana blend.
Kuna type ya wanawake wanainatwa "feminine" hawa hata mfuate vipi, uonyeshe unampenda vipi, hawakubali ng'o mpaka akupende yeye!. Hawa thamani yao ni "uanamke wao!", ukimfuata fuata huku hakupendi, anakuona kero, una ghasi!. Mwanamke wa type hii, akikutana na hawa "male chauvinism", its trouble!. Marehemu Levina was this type, a "feminist!". Alipokerwa, alichukua hatuo zote za kuripoti, bila kupata msaada wowote!, take it from me, hiyo siku alipofight, "alibakwa!" hakusema kuepuka aibu, ikaishia kusemwa kuwa she was only harrased not abused!. Kwa vile kitu cha thamani kubwa kuliko kitu kingine chochote kwake was her "feminity" na kuna mtu kaja kujichukulia kwa nguvu as if ni yake!, then akajisikia she was degraded to the botom line, hivyo life kwake haina thamani tena!, kuliko kuishi na machungu, bora ajiue!.
NB. Watu wote wanao commit suicide, hutanguliwa na msongo wa mawazo, by the time anauchukua uamuzi wa kujitoa roho, anakuwa under "insanity!". Ila pia wanaowasababishia haya nao huwa hawabaki salama!, usually "karma" takes care of them.
Ila pia pale UDSM, watu wa Engineering ndio siku zote hujiona vidume!, mimi nimeingia chuo enzi za Prof. Luhanga, by that time, wale top management watano wa juu, 4 kati yao ndio walikuwa ma engineer, mmoja tuu ndio alikuwa fani nyingine!, sikujihusisha kabisa na siasa za Daruso, ila engineering ndio walikuwa na upper hand!. Nakumbuka kuna wakati nilimpigia kampeni dada mmoja wa Law ili awe VC, we spent much, lakini alishindwa na mtu wa engineering!.
Rip Levina Mukassa, shujaa mdogo mwanamke!.
Pasco.