Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Miaka ya mwishoni mwa 80 na mwanzoni mwa 90 karibu taasisi nyingi za elimu zilikuwa na makundi kama haya.

Wanafunzi wengi haswa wa kiume walikuwa na makundi ya siri au yanayojulikana na lengo kubwa la makundi haya ilikuwa ni kufanya tu vitendo vya kihuni na haswa kwa wasichana au wanawake.

Wengi wanaweza wakawa wanaikumbuka Tambaza(WU-TAMBA CLAN) ya wakati huo kabla wanafunzi wake hawajasambazwa mashule mengine na O-Level kuvunjwa rasmi.

Shule kama Ilboru ilikuwa na makundi ya wanafunzi wavuta bangi ambao walijitenga na kuishi katika bweni moja kiasi kwamba mwanafunzi mgeni ukiingia huko ni kama umepelekwa gereza la Sona na kukutana na kina Theodore Bagwell (T-Bag).
unataka kusema ulikuwepo duniani enzi hizo?
 
Waona mbali sana eenh...🙂
jf bana ..usiwe unaamini kila kitu.halafu unavoongea kwa maconfidence sasa mtu amabae hakujui hawezi kuamini umezaliwa miaka ya 90 !
 
Hawa Punch hawakuwa na adabu kabisa. Nakumbuka waliwahi kumpanchi hata mkuu wa nchi mwaka wa 1995. "It was so embarrassing!" :embarassed2:
hebu nieleze taratibu walikuwa wanafanyeje eti?
 
Namkumbuka sana huyu dada yangu, Levina Mukasa. Alikuwa Mtanzania kutoka maeneo ya Kyaka, Misenyi. Alikuwa anachukua shahada ya Ualmu. Alikuwa mtulivu sana kwa aiba na kwa matendo.

Nakumbuka siku aliyofika Getruda Mongela akahutubia akiwa amesimama juu ya HIGH TABLE, meza iliyokuwa katika cafeteria ya Manzese, na ilioyotumiwa exclusively na wanafunzi wa Engineering mwaka wa nne. Mama Mongela alisema kuwa alikuwa amekuja kuizika PUNCH.

Jioni yake Profesa Shivji aliweka mdahalo usiokuwa rasmi nje ya cafeteria ya Manzese na kupinga kauli ya Getruda na kumbeza kwamba " You can't declare resolution of what you didn't establish" Wiki iliyofuata PUNCH akatoa toleo lingine likimtukana Getruda matusi yote.

Ndipo baada ya hapo serikali ikatangaza kitita cha Sh Mil 10 kwa yeyote atakayempata mshirika yeyote wa PUNCH. Baada ya hapo ilitoka makala ndogo ya PUNCH iliyotundikwa Hall One. Kisha PUNCH ikafifia kabisa.

EMT umenikumbusha mbali sana.


Punch iliendelea hadi miaka ya tisini na Tano...baada ya hapo vinara wote wa PUNCH walinyorodeshwa...Kulikuwa na operesheni maalum ya kuimaliza kabisa ambayo ilishirikisha pia watu wa usalama....
 
Miaka ya mwishoni mwa 80 na mwanzoni mwa 90 karibu taasisi nyingi za elimu zilikuwa na makundi kama haya.

Wanafunzi wengi haswa wa kiume walikuwa na makundi ya siri au yanayojulikana na lengo kubwa la makundi haya ilikuwa ni kufanya tu vitendo vya kihuni na haswa kwa wasichana au wanawake.

Wengi wanaweza wakawa wanaikumbuka Tambaza(WU-TAMBA CLAN) ya wakati huo kabla wanafunzi wake hawajasambazwa mashule mengine na O-Level kuvunjwa rasmi.

Shule kama Ilboru ilikuwa na makundi ya wanafunzi wavuta bangi ambao walijitenga na kuishi katika bweni moja kiasi kwamba mwanafunzi mgeni ukiingia huko ni kama umepelekwa gereza la Sona na kukutana na kina Theodore Bagwell (T-Bag).

Hii unanikumbusha Azania kulikua na jamaa wanajiita "aza pound"...akina chapa mamba..mdudu...kutwa kunyanyasa wadada Wa jangwani na zanaki ..
 
Namkumbuka sana huyu dada yangu, Levina Mukasa. Alikuwa Mtanzania kutoka maeneo ya Kyaka, Misenyi. Alikuwa anachukua shahada ya Ualmu. Alikuwa mtulivu sana kwa aiba na kwa matendo.

Nakumbuka siku aliyofika Getruda Mongela akahutubia akiwa amesimama juu ya HIGH TABLE, meza iliyokuwa katika cafeteria ya Manzese, na ilioyotumiwa exclusively na wanafunzi wa Engineering mwaka wa nne. Mama Mongela alisema kuwa alikuwa amekuja kuizika PUNCH.

Jioni yake Profesa Shivji aliweka mdahalo usiokuwa rasmi nje ya cafeteria ya Manzese na kupinga kauli ya Getruda na kumbeza kwamba " You can't declare resolution of what you didn't establish" Wiki iliyofuata PUNCH akatoa toleo lingine likimtukana Getruda matusi yote.

Ndipo baada ya hapo serikali ikatangaza kitita cha Sh Mil 10 kwa yeyote atakayempata mshirika yeyote wa PUNCH. Baada ya hapo ilitoka makala ndogo ya PUNCH iliyotundikwa Hall One. Kisha PUNCH ikafifia kabisa.

EMT umenikumbusha mbali sana.


....walimuita Mama Getrude Ibengwe Mongella, shangingi la NEC.....PUNCH ilikuwa ni genge la zaidi ya wahuni....
 
EMT.... hii thread ina sura mbili lakini zote zitakua na snowball effect

Umenikumbusha mbali....

Unfortunately, Levina hawezi kurudi kuona changes zinazoendelea
 
jf bana ..usiwe unaamini kila kitu.halafu unavoongea kwa maconfidence sasa mtu amabae hakujui hawezi kuamini umezaliwa miaka ya 90 !

Una cheti changu cha kuzaliwa ama?
 
Hii unanikumbusha Azania kulikua na jamaa wanajiita "aza pound"...akina chapa mamba..mdudu...kutwa kunyanyasa wadada Wa jangwani na zanaki ..

Hahaha!! hayo majina ukiyasikia tu unajua kabisa si salama

Kuna siku mwaka 1993 au 1994 wanafunzi wa WU-TAMBA walitembeza mkong'oto karibia shule zote za msingi na sekondari.

Nakumbuka siku hiyo ilikuwa ni hekaheka mjini hapa, wanafunzi na waalimu walipigwa bila kusahau mali za shule nyingi ziliharibiwa.
 
Miaka ya mwishoni mwa 80 na mwanzoni mwa 90 karibu taasisi nyingi za elimu zilikuwa na makundi kama haya.

Wanafunzi wengi haswa wa kiume walikuwa na makundi ya siri au yanayojulikana na lengo kubwa la makundi haya ilikuwa ni kufanya tu vitendo vya kihuni na haswa kwa wasichana au wanawake.

Wengi wanaweza wakawa wanaikumbuka Tambaza(WU-TAMBA CLAN) ya wakati huo kabla wanafunzi wake hawajasambazwa mashule mengine na O-Level kuvunjwa rasmi.

Shule kama Ilboru ilikuwa na makundi ya wanafunzi wavuta bangi ambao walijitenga na kuishi katika bweni moja kiasi kwamba mwanafunzi mgeni ukiingia huko ni kama umepelekwa gereza la Sona na kukutana na kina Theodore Bagwell (T-Bag).

Mabweni yaliyokithiri kwa bangi Ilboru yalikuwa Meru na Oldonyo. Ilikuwa ukipangiwa kuishi ktk mabweni haya ni sawa na jehanam.
 
Dah. .RIP Levina. Unyanyasaji wa kijinsia na kisaikolojia ni hatari sana. Sikonge sio kila mtu ni jasiri au sijui niseme jeuri kiasi cha kuweza kupambana na hayo mambo mpaka mwisho bila kutetereka. Kuna watu ambao wakishaumizwa kihisia wanapoteza kabisa "self worthy". Kitendo cha Levina kubakwa (kama ambavyo wengi wamesuggest ilitokea ila hakutaka kusema) kilimfanya ajione hana thamani tena. Matusi, kuchorwa na fujo alijitahidi kupambana navyo kwa kutafuta msaada hapa na pale. Ila kitendo cha kubakwa ndio kilikuwa 'breaking point' kwake. Hakuona afanye nini tena ama apiganie nini maana mwanzo alikuwa analinda uanamke wake na sasa hanao tena so she gave up.

Hata angeenda JKT pengine isingesaidia maana kuke hawamfundishi mwanamke namna ya kujithaminisha, wanafundisha ujasiri.

Hii story inasikitisha sana ila inasisimua kwa namna ya kutamanisha kujua zaidi. Kashaijabutege , Pasco , watu8 , EMT, TIMING na wengine mnaojua zaidi kuhusiana na hilo kundi la PUNCH embu tuelezeni zaidi. Hao jamaa walikuwa wanapata wapi ujasiri wa kufanya mambo waliyofanya mpaka wanaogopwa na uongozi wa chuo? Members walikuwa wanaingia vipi?
 
Last edited by a moderator:
Dah. .asante EMT. .RIP Levina.

Unyanyasaji wa kijinsia na kisaikolojia ni hatari sana. Sikonge sio kila mtu ni jasiri au sijui niseme jeuri kiasi cha kuweza kupambana na hayo mambo mpaka mwisho bila kutetereka. Kuna watu ambao wakishaumizwa kihisia wanapoteza kabisa "self worthy". Kitendo cha Levina kubakwa (kama ambavyo wengi wamesuggest ilitokea ila hakutaka kusema) kilimfanya ajione hana thamani tena. Matusi, kuchorwa na fujo alijitahidi kupambana navyo kwa kutafuta msaada hapa na pale. Ila kitendo cha kubakwa ndio kilikuwa 'breaking point' kwake. Hakuona afanye nini tena ama apiganie nini maana mwanzo alikuwa analinda uanamke wake na sasa hanao tena so she gave up.

Hata angeenda JKT pengine isingesaidia maana kuke hawamfundishi mwanamke namna ya kujithaminisha, wanafundisha ujasiri.

Hii story inasikitisha sana ila inasisimua kwa namna ya kutamanisha kujua zaidi. Kashaijabutege , Pasco , watu8 , EMT, TIMING na wengine mnaojua zaidi kuhusiana na hilo kundi la PUNCH embu tuelezeni zaidi. Hao jamaa walikuwa wanapata wapi ujasiri wa kufanya mambo waliyofanya mpaka wanaogopwa na uongozi wa chuo? Members walikuwa wanaingia vipi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom