Nilisoma O level Tambaza na A level Ilboru, Tambaza ya enzi hizo, bangi ilivutwga wazi wazi aneo linaloitwa summit, ila wengi wa wavuta bangi wale wa Tambaza, walitoka na DIV 1 kali!.
Sasa kuna akina sisi nasi tulitamani DIV 1, hivyo nilipoenda Ilboru, in seach of DIV one, nikajaribu ile makitu!. Very unfortunately, mimi ilinituma vibaya!, badala ya ku concentrate na masomo, ilinituma mambo mengine!, na shule yetu ilikuwa boys only!. Ilibidi kuingia mtaani kutafuta na nikikosa nilitembea hadi Mianzini kwenda "kununua!". Just imagine pori lile la Ilboru, umbali ule mpaka town, usiku wa manene, mwanafunzi ana cross boda peke yake!.
Wenzangu wakanieleza bangi inakutuma kile unachofikiria na kukinuizia, nikajaribu tena na tena kwa kujifikirisha masomo na kunuizia, ile kupiga tuu puff ya kwanza, inanituma mawazo yale yale mabaya yalinijia hivyo nikaacha kabisa! .
Ilifikia kiwango cha hata nikiisikia tuu harufu mwingine anavuta, mimi mwili unasisimka kuhitaji "mambo yetu yalee!" hivyo nikaacha kabisa, unless once in a while for pleasure purpose only!.
Ila hao hao waliokuwa wavuta bangi wa enzi hizo, sasa hivi wengi wako very successful na sidhani kama bado wanapuliza!.
Wanafunzi wanaosoma boys only, wanakabiliwa na tatizo la kisaikolojia liitwalo la superiority complex iitwayo "male chauvinism", wanajiona wao ndio wao, wao ndio zaidi!, hivyo wanapomtaka msichana, hujiona its their right kumpata, na akikataa pia its right kumbaka!. Wanawake wengi hubakwa ila hawasemi kuepuka aibu na mpaka leo mpaka kesho wanawake kibao hubakwa na ndugu zao, wapenzi wao, na waume zao, na hawalalamiki popote kuepuka aibu na hubaki kuwa siri za familia baadhi ya mahusiano huanza kwa kumbakwa kwanza ndipo kisha hupenda!.
Kuna type ya wanawake wananatatizo ya kisaikolijia liitwalo "masochism" hivyo huitwa macho women, hawa huderive sexual pleasures na satisfaction kwa kufanyiwa vitendo vya ukatili, violence na sadism kama kubakwa!, hivyo hata umtake vipi, hakubali, kusema yes ila atajilengesha na kujiegesha egesha ili utumie force, ikiwemo kumvutia chumbani kwako, kumvua nguo kwa nguvu, akiona zinataka kuchanika, anaachia zitoke, then anaishikilia pichu sometimes unaichana!, akilala kitandani, anafunga miguu ufanye kazi kweli kweli kuifungua!, ukifanikiwa, utamnote she enjoys very much!, tena anajiachia haswa!.
Wanawake hawa wanataka kuwa "conquered", ili wamkubalie mtu, lazima awe "the conqueror", sasa hawa "male chauvinist", wakikutana na "macho women" wana blend.
Kuna type ya wanawake wanainatwa "feminine" hawa thamani yao ni uanamke wao, hawa hata mfuate vipi, uonyeshe unampenda vipi, kama hajakupenda, hawakubali ng'o mpaka akupende yeye!. Hivyo wanaposema no and they mean no! , wanawake wengi husema no ya mdomoni tuu kutokana na inhibitions tuu lakini moyoni, they mean yes!.
Hawa wanawake wa no ya no kweli, thamani yao ni "uanamke wao!", ukimfuata fuata huku hakupendi, anakuona kero, una mghasi!. Mwanamke wa type hii, akikutana na hawa wanaume ma chauvinists wa "male chauvinism", its trouble!. Mmoja anaposema no, mwingine anadhani ni no ya yes huku mwingine ni no ya no.
Marehemu Levina Mukasa was this type, ya "feminist!". Alipokerwa, alichukua hatua zote za kuripoti, kunakohusika bila kupata msaada wowote!, take it from me, hiyo siku alipofight, atakuwa "alibakwa!" hakusema kuepuka aibu, ikaishia kusemwa kuwa she was only harrased not abused!.
Kwa vile kitu cha thamani kubwa kuliko kitu kingine chochote kwake was her "feminity" na kuna mtu kaja kujichukulia "feminity" yake kwa nguvu as if ni mali yake!, then akajisikia she was degraded to the bottom line, hivyo life kwake has no meaning anymore, haina thamani tena!, akaamua kuliko kuishi na machungu, bora ajiue!.
NB. Watu wote wanao commit suicide, hutanguliwa na msongo wa mawazo, by the time anauchukua uamuzi wa kujitoa roho, anakuwa under the state of "pseudo insanity!" vyou vya wenzetu wana ma psychoanalyst ambao wange note change of atitude ya kuwa mkiya kuliko kawaida, wange muwahi na kumuokoa!. Ila pia wanaowasababishia haya binadamu wenzao nao huwa hawabaki salama!, usually "karma" takes care of them.
Ila pia pale UDSM, watu wa Engineering ndio siku zote hujiona vidume!, mimi nimeingia chuo enzi za Prof. Luhanga, by that time, wale top management watano wa juu, 4 kati yao ndio walikuwa ma engineer, mmoja tuu ndio alikuwa fani nyingine!, sikujihusisha kabisa na siasa za Daruso, ila engineering ndio walikuwa na upper hand!. Nakumbuka kuna wakati nilimpigia kampeni dada mmoja wa Law ili awe VC, we spent much, lakini alishindwa na mtu wa engineering!.
Rip Levina Mukassa, shujaa mdogo mwanamke!.
Paskali