Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Yup...nakumbuka sana.

Puza nae aliishia kujiua yeye mwenyewe na aliandaa eneo la kwao kwa kulisafisha vizuri watu walishangazwa na wakamuuliza kulikoni leo unafanya usafi akasema watakuja watu wengi sana... the akajiua na msiba wake... ila nahisi kuna kitu alikifanya hivyo nafsi ilikuwa inamsuta sana.... manake aliiba alifundisha watu kuiba uvutaji maovu mengi n.k
 
dah!! inatia majonzi jamani, kumbe mambo yalikuwa hivo miaka hiyo udsm!!
 
Nimekosa sababu ya ku LIKE hii mada

Nimejiuliza tu kuwa hivi niki LIKE ndo nitakuwa nimependa aliyofanyiwa huyo dada au nitakuwa nime LIKE kitu gani hasa
?

Mambo haya yalikuwepo sana nyakati hizo

Siku hizi naona kama yamefifia sana!

ukilike unamshukuru mtoa mada, wengine hatukuwepo enzi hizo.... tumeonesha appreciation kwa kulike.
 
ukilike unamshukuru mtoa mada, wengine hatukuwepo enzi hizo.... tumeonesha appreciation kwa kulike.

Kumshukuru kiaje?

Unamshukuru kukuambia au?

Nilikuwepo nyakati hizo najua haya matukio yalikuwepo ila hii sikuisikia

Lakini bado nahisi ku LIKE ni kama nimependa yaliyomtokea huyo Dada!!
 
Kumshukuru kiaje?

Unamshukuru kukuambia au?

Nilikuwepo nyakati hizo najua haya matukio yalikuwepo ila hii sikuisikia

Lakini bado nahisi ku LIKE ni kama nimependa yaliyomtokea huyo Dada!!

hapo blue ndio jibu hilo. sometimes tunalike ili ujue kuwa nimesoma comment yako. kuna madhumuni tofauti ya kulike
 
hivi hujawahi kuletewa habari za msiba na kumshukuru aliyekuletea??? ndicho hiki kilichofanyika.... sema hapa hatuna thanks button, tuna mbadala wake.

Kuletewa habari ya msiba kunaweza kuwa na mshiko kwa kumshukuru aliyekuletea kwasababu unaweza kwenda msibani on time

Kwenye hili je?
 
Hiki ndio chuo bora Tanzania , vyengine ni vyuo kata tu
 
Japo bado ukandandamizaji wa jinsia upo lakini miaka hiyo ya 80 90s inaelekea ulikuwa mbaya zaidi..
 
Kujua mwenzako alivyonyanyaswa ni faida?

naona tumetoka kuongelea like sahv tunakuja kuongelea manyanyaso, usinitoe nje ya mada. kwa heshima ya EMT, thread iheshimiwe isichakachuliwe. kwaheri.
 
Last edited by a moderator:
Bora PUNCH imekufa sasa hivi. Ilikuwa ni uchochoro wa watu wasiotaka fikra mbadala. Jamii inayojengwa kwa approach za kibabe babe huwa ni jamii isiyo na future ya kueleweka. Kama kweli wahandisi walikuwa wanatumia njia ile kujipatia wanayotaka kwa njia ya mkato, basi walikuwa watu wa ajabu sana....waliidhalilisha FACULTY.
 
Na Yule binti wa DUCE Aliyechomwa kisu mwaka 2008 pale Mabibo Hosteli (jina limenitoka) ni Mtoto wa Nguli mwingine wa Nyimbo za Kikatoliki PF MWARABU (KOCHA)
What a Coincidence??

very sad sikufahamu kabla
 
R.I.P Levina
unyanyasaji wa kijinsia ni ukatili ambao utachukua muda sana kuisha

Pamoja na kuwa utachukuwa muda kwisha hatutakiwi tukubali hilo na kama kila familia itahusika katika kuwajengea mabinti confidence tangu wakiwa wadogo. Wajikubali kuwa they are complete on their own na hawana mapungufu yeyote.

Kuwa hawawezi kuwa substitute ya wanaume wala wanaume siyo substitute yao. Each has his/her specific strength and weakness ila hii haina maana they should compete bali wanapaswa ku team up kila mtu akijua potential yake. They can agree to agree or disagree katika kitu chochote.

Tatizo ninaloliona hata kwa gender affirmative programmes ni la kuwa oppress wanawake ki psychologia kwamba mpaka wahurumiwe ndiyo waonekane wanaweza. Kwajinsi hii wamekuwa subordinates tu na hawajitambui they can lead sometimes for male gender ti follow...,

Pamoja na yote hayo bado kazi kubwa imefanywa kuwawezesha wanawake ki uchumi ambayo ni mkombozi mkubwa sana ...... Lakini bado tatizo lipo kwenye attitude inayojengwa kupitia huo huo uwezeshaji..... Wanawezeshwa kwa ku reinforce mfumo!
 
Lizzy alikosea, Marehemu hakubakwa hata siku moja na hao jamaa zake. Ila kunasemekana kuna Wadada walibakwa ila siyo yeye. Mengine yote ya kunyanyaswa, kuteswa, kupigwa, Mzee Punch nk ni kweli ila siyo KUBAKA.
Tena miaka ile kiasi flani wadada walikua wanajitunza sana sasa tukio hilo kwake lilikua kubwa sana hebu jiulize unauweka wapi uso wako baada ya kufanyiwa yote hayo. Tena jamii inakutenga na kukuona mkosefu mno.
 
Back
Top Bottom