They were nothing but bunch of lunatics who thought tht they can run the world with thr stupid ideas they so called patriotism.##hope they rot inhell for Levina's sake and all the victims##.so sad, kundi hilo liliendelea hadi miaka ya 2000 japo hali ilibadilika kiasi kwani hadi wanaume walikuwa wakitolewa Punch. Pia kuna wanawake walianzisha kundi lao "MOTHER OF THE LAND" Walikuwa wakiwatoa wanaume sana sana japo haikuwa strong kama PUNCH Original. Wengi sana walifikia uamuzi wa kukatisha maisha yao japo takwimu sahihi zinaweza zisiwepo. Safari ya Usawa wa Kijinsia na kumaliza unyanyasaji wa kijinsia ni ngumu sana kwa kuwa wapo wanaofanya hivyo bila kujua ni unyanyasaji na wapo wanawake wanaofurahia na kuchekelea kwa kuona mwanamke mwenzie ananyanyasika. Mungu azilaze pema roho za marehemu walitutangulia kwa unyanyasi wa kijinsia wa aina yoyote.
kwani wewe ni wa mwaka gani jamani
Yalitokea hapa hapa Tanzania tena Dar es Salaam, wakati wa awamu ya mwisho ya Rais Mwinyi.
Haijawahi kutokea wanafunzi wakorofi kama hawa ninaowaeleza wa Tambaza, sijui chanzo kilikuwa ni nini haswa!!!
Mbona una wasiwasi sana na miaka? Ni Namba tu hizo. Nikikuambia kuwa mie ni wa Mwaka 1958 itakuwa imebadilisha nini wewe Mngoni? Mwisho wa siku, ng'ombe hazeeki maini bana. Ndiyo kwanza natafuta Mchumba aliyemaliza Secondary School (A level) na nifunge naye ndoa. Wewe umamilza lini? Utakuwa umeshavuka umri wa kuolewa na SIKONGE 🙂
Punch iliendelea hadi miaka
ya tisini na Tano...baada ya hapo vinara wote wa PUNCH
walinyorodeshwa...Kulikuwa na operesheni maalum ya kuimaliza kabisa
ambayo ilishirikisha pia watu wa usalama....
inaelekea huku kuna watu wa kizazi cha nuhu humu! shikamoo lakini mzee mwenzanguMbona una wasiwasi sana na miaka? Ni Namba tu hizo. Nikikuambia kuwa mie ni wa Mwaka 1958 itakuwa imebadilisha nini wewe Mngoni? Mwisho wa siku, ng'ombe hazeeki maini bana. Ndiyo kwanza natafuta Mchumba aliyemaliza Secondary School (A level) na nifunge naye ndoa. Wewe umamilza lini? Utakuwa umeshavuka umri wa kuolewa na SIKONGE 🙂
Haya mambo Nigeria yapo bado nafikiri.Wanajiita Cult members.Huko Hata wanawake wanazo Cult zao.Shukrani kwa serikali ilifanikiwa kuiua hiyo Puch hapa Tanzania.
Umenifurahisha sana hapa umenikumbusha mbaaali kweli...
And when did the girl take her own life? Twenty some years ago, right?
inaelekea huku kuna watu wa kizazi cha nuhu humu! shikamoo lakini mzee mwenzangu
Binafsi nilivyoiona PUNCH hakikuwa chombo cha wanafunzi peke yao. Kama nilivyosema awali, kwanza lugha iliyotumika katika makala zake ilionekana kusheheni ujuzi wa fani mbalimbali (madaktari, wahandisi, waandishi wa habari, wachumi, polisi, usalama wa taifa, n.k). Kuna matoleo mengine yalikuwa ni ya uchunguzi wa kina wa jambo (investigative), kiasi kwamba mwanafunzi wa kawaida asingekuwa na uwezo wa kifedha kukamilisha uchunguzi huo. Makala nyingine ziliianika serikali au taasisi zake, jambo ambalo lilikuwa gumu kuwezekana pasipo mkono wa nje ya Mlimani.
Lingine linaloonesha kuwa PUNCH hawakuwa wanafunzi peke yao, ni ule uwezo wa kutundika makala hizo sehemu nyeti, kama jengo la utawala pasipokushikwa wahusika.
PUNCH vile vile ilikuwa ni vent ya kuikosoa serikali katika mazingira ya chama kimoja na uchache wa vyombo vya habari. Enzi hizo watu, wakiwemo watawala, walipanda magari kuja Mlimani kusoma matoleo ya PUNCH.
Nakiri kabisa kuwa PUNCH ilikuwa na madhara ya kibaguzi (hasa kwa wasichana-waliokuwa wachache vilevile), lakini kuna na mambo mazuri (postive) ambayo PUNCH imechangia katika ustawi wa Taifa hili.
Nguvu ya PUNCH nilivyoiona, lazima ilikuwa na patrons wenye nguvu, nje na ndani ya Chuo, ingawa sisemi Shivji alikuwa mmoja wao.
ahahaaaa shikamoo bana.by the way uliona safina?Hahahaa, Kizazi cha Nuhu? Labda sasa naelewa kwa nini mwaka juzi nilijipeleka mwenye huko Uturuki kuangalia Mlima ARARAT. Hakuna cha ajabu huko ukiacha barafu ambayo hata hapa Tanzania, Mlima Kilimanjaro ipo. Sasa kitu gani kilinivuta kwenda huko? Labda kuangalia ile SAFINA yetu tuliyotengeneza na Nuhu ambayo inasemekana ipo kwenye mlima huo.
Mwisho, hizi Shikamoo, huwa ni dalili kubwa sana ya kumwambia Mwanaume, "Hebu ishia Babaa'ngu..." Hivyo, siku nyingine zielekeze kwa wifi yako Kaunga , siyo mimi bana. Mie bado kabisa umri unaita.
![]()
Mkuu umenikumbusha battle ya Tambaza Vs Azania. Kule Moshi kulikuwa na wababe wa Kibohehe / (Kolila?) na Kilimanjaro Boys. Kuna kipindi pia Lyamungo Vs Umbwe, Moshi Tech Vs Old Moshi. Ilikuwa full burudani.
ahahaaaa shikamoo bana.by the way uliona safina?
aisee mimi sithubutu kurusha mguu wangu kwa mnyamwezi tena! hata uniambie utanipeleka wapi acha niishie kutalii mlima kilimanjaro na misitu yake basi!....khaaa kuna watu wana roho ngumu kama paka bwanaKama hiyo ni SAFINA, basi kweli niliiona. Next time ukishakuwa Smile SIKONGE, ntakupeleka huko na ukishatoka huko, utaenda kupata adhabu, kulala siku mbili ndani ya hotel TITANIC.