Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Teh teh...Mi najua hunipendi ila sio kwa kiwango hicho..Huwezi kuexpose mambo yanguHahahaa ukihamisha na wewe yako inahamia usoni
Teh teh...Mi najua hunipendi ila sio kwa kiwango hicho..Huwezi kuexpose mambo yanguHahahaa ukihamisha na wewe yako inahamia usoni
Yes babyyyBabyyyy
Huyu labda alikua na lengo la kujifagilia kumbe ndo kaharibu kabsaaaEti mdada papuchi haionekani ilipo, mwili jumba paja la haja na kiuno hakionekani kilipo. Sijui watu huwa wanafikiria nini![]()
![]()
Hivi kuna mdada anaweza kupeleka mwanaume home/ghetto kwake siku ya kwanza tu kukutana? Hata kama mmechat mwaka mzima, kweli ni rahisi kiasi hicho?
Missed uYes babyyy
Nimeshakuja...Missed u
Bora nimekuona moyo wangu urudishe mapigo kawaidaNimeshakuja...
Nani alisema?Na alivosema ana kifua kama matikiti ya Moro![]()
![]()
Kaka mshenzi yuleee...
Wow nafurahi kusikia hivyo. Mi nikikuonaga moyo unafanya pa!Bora nimekuona moyo wangu urudishe mapigo kawaida
Ur vodoo spell works vry gud on meWow nafurahi kusikia hivyo. Mi nikikuonaga moyo unafanya pa!
Uwe unaniita basiWewe ndo umechochea yote haya halafu unawacheka na kukimbia?
Mubaya wewe😛
Niliyoyapata hapa bwana chairman ni kuwa.... hawa wafuatao wana sifa za kupewa kadi ya chama chetu
Nitajie japo watatu niwachapeHata watu wazima wapo humuuu, siyo watoto tu wanaofanya hivyo
Hahhaaaaa!! Madam utamu wangu kushare hapana aisee!!! Muambizane hapa hapa na mimi nikiona.shemeji nambie nshafika
acha wivu weeewee...kizudi shea na mwenzio
mimi sijawahi kukutana na watu wa aina hii
