Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Eti mdada papuchi haionekani ilipo, mwili jumba paja la haja na kiuno hakionekani kilipo. Sijui watu huwa wanafikiria nini

Hivi kuna mdada anaweza kupeleka mwanaume home/ghetto kwake siku ya kwanza tu kukutana? Hata kama mmechat mwaka mzima, kweli ni rahisi kiasi hicho?
Ukame mbaya ndugu yangu dada aliona ndio bahati hiyo bora jamaa aje kumpunguzq machungu gheto kwake
 
Eti mdada papuchi haionekani ilipo, mwili jumba paja la haja na kiuno hakionekani kilipo. Sijui watu huwa wanafikiria nini

Hivi kuna mdada anaweza kupeleka mwanaume home/ghetto kwake siku ya kwanza tu kukutana? Hata kama mmechat mwaka mzima, kweli ni rahisi kiasi hicho?
Na alivosema ana kifua kama matikiti ya Moro
Kaka mshenzi yuleee...
 
Eti mdada papuchi haionekani ilipo, mwili jumba paja la haja na kiuno hakionekani kilipo. Sijui watu huwa wanafikiria nini

Hivi kuna mdada anaweza kupeleka mwanaume home/ghetto kwake siku ya kwanza tu kukutana? Hata kama mmechat mwaka mzima, kweli ni rahisi kiasi hicho?
Yani ni uongo wa kiwango cha lami
 
Eti mdada papuchi haionekani ilipo, mwili jumba paja la haja na kiuno hakionekani kilipo. Sijui watu huwa wanafikiria nini

Hivi kuna mdada anaweza kupeleka mwanaume home/ghetto kwake siku ya kwanza tu kukutana? Hata kama mmechat mwaka mzima, kweli ni rahisi kiasi hicho?
yaani yule kaka akili hana kabisaa

wanene tunakoma mbonaa..

ila hiki kitu si kweli aliamua tu kuchangamsha gengee
 
Back
Top Bottom