Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Eti geniveros hawa watu wa aina hii unawapataga wapi au tuseme wanaofanya mambo ya kipumbavu hivyo?

hamtuoni wahenga? achaneni na vitoto kwani mmekuwa wolpa...

baada ya kusema hayo, heb niitie Asprin huenda naye amesoma huu uzi akapata mawili matatu,,,
Hata watu wazima wapo humuuu, siyo watoto tu wanaofanya hivyo
 
baby espy una wivu duuh hebu ona nilichomuuliza, sijamtongoza maana ningefanya hapa hapa mambo ya PM hapana lakini sasa hivi niemtulia tuli
Hapo sawa, na pm yako nimeihack, ukienda tu napata notification. So noti tu zati eksitenti.
 
Back
Top Bottom