andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,026
- 120,500
Ahsante mamaangu,nani pia nimefurahiNimefurahi kukuona shemeji.
Ahsante mamaangu,nani pia nimefurahiNimefurahi kukuona shemeji.
Hii nayo ya lini bratan?Eti mdada papuchi haionekani ilipo, mwili jumba paja la haja na kiuno hakionekani kilipo. Sijui watu huwa wanafikiria nini![]()
Hivi kuna mdada anaweza kupeleka mwanaume home/ghetto kwake siku ya kwanza tu kukutana? Hata kama mmechat mwaka mzima, kweli ni rahisi kiasi hicho?
Za kwetu usizianike pliizNdo hivyo wifii hata wakikulana pia
Upo outdated bratan!!Hii nayo ya lini bratan?

Teh teh..Kweli aisee..Naona Jf imekuwa uwanja wa mapambanoUpo outdated bratan!!![]()
Teena..ntaweka na picha kabisaZa kwetu usizianike pliiz
Bora tukaziuze tupate hela..Ila sio kuziweka huku aiseeTeena..ntaweka na picha kabisa
Mi nakupenda wewe yani, uwe mke wa piliTeena..ntaweka na picha kabisa
. Mpwa mbon we sikukutagi kwenye hizi makitu!Upo outdated bratan!!![]()
vinashangaza enh!Teh teh..Kweli aisee..Naona Jf imekuwa uwanja wa mapambano
We nenda kaziuze ila zangu ntaweka humuBora tukaziuze tupate hela..Ila sio kuziweka huku aisee
Teh wewe tena..hata ukisema niwe mchepuko poa tuMi nakupenda wewe yani, uwe mke wa pili![]()
![]()
.
Such a decent lady.
AaaghhSasa wewe unajifanya Ben Nkapa Na vimatusi vyako.
Siku hizi mtu anatafuta kukujua ili aje kukuchafua humu..Inashangaza sanavinashangaza enh!
najiuliza Enzi ile tulivokuwa free kukutana na kumake friends kudate sijui nini ingekuwa inaendakwa style hiii mbona balaa!
Jaribu..Kama sijaihamishia usoniWe nenda kaziuze ila zangu ntaweka humu
Mpwa, naweza kufukuliwa kaburi hapa hali ikawa teteMpwa mbon we sikukutagi kwenye hizi makitu!
kuna watu haki kabisa siwazi kabisa kuwakuta humu!
na wameendelea kuniprove right ninachowawazia!
sasa najiuliza haya yanatoakeaga wapi?
. Binafsi naona ni utoto wa hali ya juu sana, hivi tukifahamiana tukakutana kupiga stories, tukapata juice kidogo kuna ubaya gani? Hahahaa ukihamisha na wewe yako inahamia usoniJaribu..Kama sijaihamishia usoni
Kabisa yaani..ndio maana mi nimesema ninaojuana nao mpaka sasa wanatoshaSiku hizi mtu anatafuta kukujua ili aje kukuchafua humu..Inashangaza sana
hahhahahahauzuri hata hao wenye makaburi yako nao hawana hizo biashara!Mpwa, naweza kufukuliwa kaburi hapa hali ikawa tete. Binafsi naona ni utoto wa hali ya juu sana, hivi tukifahamiana tukakutana kupiga stories, tukapata juice kidogo kuna ubaya gani?
Utoto ni pale mtu anapoanza kukutangaza huko pm, whatsapp na kuwaonyesha wenzake picha zako, that's utoto of the highest level.
That's it..Ukiruhusu wakufahamu sana wanaongeza na yaoKabisa yaani..ndio maana mi nimesema ninaojuana nao mpaka sasa wanatosha