Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
Kwa hiyo mimi unaniachaje sasaHapa nimekuelewa sana yaani umakini unahitajika kwa matahira
Kwa hiyo mimi unaniachaje sasaHapa nimekuelewa sana yaani umakini unahitajika kwa matahira
Mkuu kati ya sehemu za kuwa makini ni JF, unaweza kutongozwa hata na mkeo.
Na unapotaka kumfuata mtu pm Kuepusha yote hayo lazima umsome kuanzia siku anapost JF hadi leo...na pm usifike tu ukaanza kujiachia achia kama upo sebuleni kwako
kama uko sebuleni kwakooo...Inategemea na makubalianoHivi Kwani ukimla mtu lazima ulipie hapohapo??
enheee...umenena point kubwa sana dada rubii...
mtu mzima umkashifu mtu kisa ameliwa au umemla...?!!
au unamchukia mwenzio au kumkashifu kisa kaliwa au kala mtu wewe msafi kiasi gani au ulikua unataka uliwe weyeee...!!!
tujifunze kustiriana jamani
ukinila uchune...hata ukijua kama nimeliwa kaa kimya
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Sasa unadhani mm ndio sipendi kuomba mambo mazuri?!Na we ni mmoja wa hao kumbe
Inategemea na makubaliano
daahh...mi wa kwanza aiseeeh!!maana only GOD knows huko PMKabisa aisee yan ww ukijisahau
Kidogo tu umeukwaa
Watu huku hawanaga cr
Kama mods wakiamua kuyanika
Yanayoendelea huko pm
Kuna ambao wataikimbia jf
Kwa sababu ya unafki,umbea, n.k
[Color= yellow]Triple A[/color]
Wengi sana....ila sio mimi nawwKumbe kuna watu wakimaliza tu kugegedana wanalipana
Kivipi jamaan tena ujue matahira sio lazima wachanganyikiwe nawaza tu hapa jitu zima kumbe ni tahira yaan linajifanya listaarabu kumbe ni tahiraKwa hiyo mimi unaniachaje sasa
Nkuonyeshe picha yako?!Hawakukosea wahenga walivyosema wanawake hatupendani jamaan geni umeniogopesha aisee umakini unahitajika kuonyeshana picha vipiiii khaa jf jamaan
Kabisa aisee yan ww ukijisahau
Kidogo tu umeukwaa
Watu huku hawanaga cr
Kama mods wakiamua kuyanika
Yanayoendelea huko pm
Kuna ambao wataikimbia jf
Kwa sababu ya unafki,umbea, n.k
[Color= yellow]Triple A[/color]











Woiiiiiiiidaahh...mi wa kwanza aiseeeh!!maana only GOD knows huko PM![]()
![]()
![]()
![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Hii digitali inachangamoto si mchezo, wananza kwa siri huko yakiharibika wanapiga kelele watu wote tujue.
yakiharibika wamalizane wenyewe hukohuko kwa siri, wakija huku wakenue meno tu......
wakenue menoo