Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
We kama unayo kaa nayo tu ndio vizuriNkuonyeshe picha yako?!
We kama unayo kaa nayo tu ndio vizuriNkuonyeshe picha yako?!
Kwa hiyo ndiyo umeniacha hivyo?Kivipi jamaan tena ujue matahira sio lazima wachanganyikiwe nawaza tu hapa jitu zima kumbe ni tahira yaan linajifanya listaarabu kumbe ni tahira
Ujue hayo maneno yako yamefanya nijitafakari saana.....
Ebu unitumie pm uniambie sio mimi niache kujistukia bwana..




ujitafakari ni tena jamaanIla inategemea umeliwa vp jamani....mtu ukimla mwenzio ukamtapeli sio uungwana kuna watu hawana siri kbs anakuja na kumuadithia mtu mwingine wa humu.
Ukitaka kujua JF watu wana habari zako subiri uanzishiwe zogo.
yaani kweli kabisaa Unaongea kwa ujasiri...hayajakukuta watu wa humu wanakuponda mpk nyumba yenuKwani sh.ngapiii?
Kuhusu utahira...ujitafakari ni tena jamaan
Wanawake huwa hatupendani mkuu ni wivu na roho mbaya anaona mwenzie anafaidi kumbe siri anaijua mwenyewe na babe wakeMaisha yanaenda kasi sana...hv ni kweli wadada wamekuwa desperate kimapenzi kiasi hiki?mpaka kufikia hatua ya kuchukuliana na wengine walifikia hatua ya kutoleana siri zote za PM zao hapa sebuleni,Mtoto wa kike kweli kabisa unajua fulani na fulani wana mahusiano na wewe unaenda mbali zaidi kujiingiza humohumo kwa kidume huyohuyo...hv huwa mnatafakari kabla?Na wewe mwanaume mwenzangu hivi hujiulizi huyu binti kama anajua fika kwamba una mahusiano na flani halafu still anajileta kwako hv unapata tafsiri gani juu ya huyo binti????
Nasubiri waliamshe dudeWe kama unayo kaa nayo tu ndio vizuri
Mie wananiboa hao wenye mahaba tunajua JF nzima as if wao ndio wapenzi humu JF hawakumbuki waliyowakuta badbey na moneystunna kimya mwaka huu siwasikii.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha tuu..
Kuhusu utahira...



lakini si umeuongea me nimeamua tu kuuendeleza ujue humu kila mtu na utahira wake jf shikamoooNaomba tuwe marafiki
Nasubilia hiyo siku kwa hamu ya kuamshiwa dude mieNasubiri waliamshe dude
wewe mbona ni taahira tunalijua hiliKuhusu utahira...
Ukiina hivyo ujue mtu kala cha mbavu,kaachwa na bado ana machungu kabisa.
sasa kukataliwa ndo uniharibie wenzio wasinile...?!!