usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,092
Kabisa aisee yan ww ukijisahauHahaa ni shida mkuu haya mambo ni kuwa makini tu kifupi ukiwa humu usijisahau
Kidogo tu umeukwaa
Watu huku hawanaga cr
Kama mods wakiamua kuyanika
Yanayoendelea huko pm
Kuna ambao wataikimbia jf
Kwa sababu ya unafki,umbea, n.k
[Color= yellow]Triple A[/color]