Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Kuna watu wanachuki na watu ambao hawana mahusiano yao hawawajui zaidi ya picha
Wanadamu watu wa ajabu sana,
Wengine watu wazima wababa wamama ila wanafiki waliotukuka
Kutongozana jambo la kawaida sana
Kuwa na mahusiano jambo la kawaida sana
Kugegedana jambo la kawaida sana
Ila kwakuwa watu wamejawa na Chuki basi itakua shughuli pevu as if as wao ni mabikra hawajawahi hata
 
Na kwanini mmwage hapa jukwaani...kwa nini msitukanane huko mlikokutana...!!!mkishaumbuana nini tena kinafata mnajidhalilisha tu kwa kweli

sent from motorola bapa and nokia jeneza
Unajua kinachofanya wamwagane
Hapa public n kwa sababu ya
Kutaka kukomoana tu yan
Kila mmoja ajione mbabe


Kwa mwenzie na kitambo yaje
Kumwagwa public ujue cr inakua
Imeshavuja kwa majiran
Shiwalud unawakuta wako kazn

Sasa majiran wata mwaga machache
Afu na nyie mtakuja kuyatoa yotee
Ya mlikokutania guest,pm,n.k

Sasa hapo atajulikana
Mwenye kibamia na mwenye bwawa la
Mtera

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Teh dawa ni kutongozana huku huku jukwaani ili wambea na vizabizabina wakose umbea au sio...
Umeona eeh? Hata assist tunaombana hapahapa kwani shngapi. Af toka useme utanitoa dinner sijui lunch ndo ukapotea mazimaa
 
Umeona kumuongezea mdogo wangu mke wa pili haitoshi leo unataka kututenganisha kiundugu....

Inaonekana hakusoma mwandiko wako siku mnatongozana pm.

Kwanza nishamuacha.
 
Back
Top Bottom