Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Tuanze jumamosi tukaangalie mpira uwanja wa Taifawewe tu![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Tuanze jumamosi tukaangalie mpira uwanja wa Taifawewe tu![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
MpendwaMhh kwani kutongozwa dhambi?? Hapo ni ww kukataa au kukubali sasa ukikubali huko pm mkishindwana kuja kusema huku yanatuhusu nini?? Kweli binadamu mnapenda kujaribu yani unatongoza mtu usiemjua ukikuta ni dada ako je?? Ok mm naona kwanza kujianika umetongozwa ni ushamba uliopitiliza ndo kwamba tujue unatongozwa sana au?? Be mature guys. Na nyie wanaume mtu akikukatalia isiwe ndo chanzo cha bifu mbaki marafiki tuu na uheshimu privacy yake.
Thanks kipenz changuMe more Darling
HahahahaahaaaMpendwa
Nakuona unatoa maushauriHahahahaahaaa
Thanks kipenz changu
....say anything Swtbird, I will
Chief Economist
Mkuu mbuzi kufia kwa muuza supu sio kosa...Maisha yanaenda kasi sana...hv ni kweli wadada wamekuwa desperate kimapenzi kiasi hiki?mpaka kufikia hatua ya kuchukuliana na wengine walifikia hatua ya kutoleana siri zote za PM zao hapa sebuleni,Mtoto wa kike kweli kabisa unajua fulani na fulani wana mahusiano na wewe unaenda mbali zaidi kujiingiza humohumo kwa kidume huyohuyo...hv huwa mnatafakari kabla?Na wewe mwanaume mwenzangu hivi hujiulizi huyu binti kama anajua fika kwamba una mahusiano na flani halafu still anajileta kwako hv unapata tafsiri gani juu ya huyo binti????
Salaam jf members
Hivi inakuaje watu wazima wenye familia zao,wanakua wanashindwa kua na busara,hekima na uvumilivu?
Hivi jf hapa ni kama nyumbani kwetu sisi ni wanafamilia moja au majirani tunaoishi pamoja kama ndugu.
Sasa nashangaaa na kupatwa na bumbuazi haswaa nikiona wanajamii moja tunashindwa kustiriana kama ndugu au marafiki wa dhati kwa kweli inaumiza sana na kustaajabisha.
Yaani humu sisi sote ni watu wazima,wasomi na wasio wasomi,lakini leo hii watu wa humu wengine tuna mambo ya ajabu ajabu mpaka yanatia aibu
Kutongozana ni jambo la kawaida sana katika jamii kama hii,lakini sasa humu mwingine akimla 'nyama'msichana basi ndo anajutaa atamtangaza mpaka ajutee..unabaki kua topic tena miaka mia
Mdada nae akitongozwa basi anakuja kumlipua mwanaume wa watu loohh...!!!
Wengine mnawateta watu PM siku mkilipuana mnaumbuana yoootee..
Wengine mnakutana PM,mnapena contacts mnakutana hukoo baadae mnaanza kuwacompare na kuwacontrast kama bidhaa vile
Na wengine msiojijua na kujielewa sasa yaani nyie ndo shida tupu!!ninyi ndo vichaa nashindwa hata kuwaweka kundi lipi...
Unapewa picha ya mtu 'either PM or whasaap'then unaexpose kwa wengine wasiomjua yule mtu..na kuwaambia yule ni nani...!!
Wengine tena wakiwa na mahaba tunajua jf nziima siku wakiachana wanatoleana ya moyoniii yooote looo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...
Kuna wengine ni waongo balaaa yaani kusambaza umbea tu usiomhusu na unaomuhusu...
Jamani tuweni na hekima na busara binadamu ni kiumbe mwenye mapungufu lakini sasa yakizidi ni shidaa...
Tuheshimiane sana tukilana,kukimbiana gesti,kukopana tuuchune tu jamani kibingwa kwani shilingi ngapi...hata tukikataliwa pia tujifunze kupiga kimyaa tu...!!
Hata kama ninyi ni wapenzi msijipambanue saana vile maana dah!mkiachana mwingine akapata"goma"lingine humu mnatupa shida sana kunnua bando la kusoma umbea![]()
![]()
.
Ni hayo tu kwa leo!!!Mengine mtaongezea
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Fursa hizi....Ni kweli, you need 3D eye to ascertain spoilers.
Yaani kweli Khantwe umeshindwa kunijua jukwaani basi tumehamia Pm more than two weeks or on month unashindwa kunijua mimi ni mtu wa namna gani japo 40%... au nikishakuja pm tu fasta umenipa namba, umenipa location.... hahaha aigoo
Utotokuna mambo ya kawaida sana kwenye jamii kama kulalana but humu ukimlala mwanamke akikupiga kibuti unamtangaza kwa mabaya
mbona wengine humu tumepigwa vibuti tumevumilia tu
Kwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.
Ni kutokukua kiakili....
Ni kuwa hawajakomaa......
Nanhapo ndio umuhimu.wa kuwa na mipaka unapokuja...
(Ila binadamu tuna guts...unamtongoza mtu kwa kuwa tu uneona avatar ...)
avatar hazijawahi muacha mtu salamaaaSanaaaa yan..Haaaaa aisee pm kumbe mnakumbana na vituko vingi sana
Upo we mrembo? Dah adimu saaana.Waache watupege ubuyu tuchangamshe mdomo maana kuna kipindi jukwaa linapoa sana.