Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

sasa kukataliwa ndo uniharibie wenzio wasinile...?!!
wanaume mkitula kaeni tu kimyaa jamanii...mtafanya wenzenu tuwanyimee

sent from motorola bapa and nokia jeneza
kweli bana

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Mhh kwani kutongozwa dhambi?? Hapo ni ww kukataa au kukubali sasa ukikubali huko pm mkishindwana kuja kusema huku yanatuhusu nini?? Kweli binadamu mnapenda kujaribu yani unatongoza mtu usiemjua ukikuta ni dada ako je?? Ok mm naona kwanza kujianika umetongozwa ni ushamba uliopitiliza ndo kwamba tujue unatongozwa sana au?? Be mature guys. Na nyie wanaume mtu akikukatalia isiwe ndo chanzo cha bifu mbaki marafiki tuu na uheshimu privacy yake.
 
Back
Top Bottom