Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Dawa ni kuichubua tu,iwe ya njanoi kama papai afu rangi ya mwili nyeusi Tu.
Nani kawaammbia K huwa inavutia kama ua?ndio maana ikafichwa.

Dawa ni kuichubua tu,iwe ya njanoi kama papai afu rangi ya mwili nyeusi Tu.
Nani kawaammbia K huwa inavutia kama ua?ndio maana ikafichwa.

Ha ha haMi uwa nikiingia ni salamu alafu kesho naomba no
Sitaki ujinga kwenye k
Hapo sasa sijui wanataka tuzibandike usoniDawa ni kuichubua tu,iwe ya njanoi kama papai afu rangi ya mwili nyeusi Tu.
Nani kawaammbia K huwa inavutia kama ua?ndio maana ikafichwa.

Nakupendaga tu vile uko real.Kujifunza namna ya kuishi na watu .. dawa low profile akufukunyue asikupate vilivyo..
Usipoteze muda ukishaona rangi nyekundu.
Usipende kujadili wenzio kama wewe hupendi kujadiliwa ..
Acha kutaka kujua wanasema nini juu yako hayakuhusu.
Mtu akileta person issue kwenye jukwaa mfuate pm mweleze hutaki shobo za kisengerema...
Akijadili person issue hakuna haja ya kujibu ni kumuignore tu akiendelea mtie kwenye ignore list usione na wala asikuone..
Maisha mafupi sana dili na maisha yako hayamuhusu mtu ishi utakavyo na si kama watavyo.. huwezi ridhisha dunia but play your part .
Marioo on fleeckIla wengi wenye hizi tabia za ajabu ajabu za kutaka k za pink sijui udhurungi ni kama yule jamaa wa wolper kula Kulala![]()
My kaka ukiona hivyo ujue kuna ovu langu nami nalificha.Hivi sisy umemkubalia kabisa huyu bwana akuolee mke wa pili
Mimi nilikwambia napenda wababu afu awe na wake kila kona kama wewe yani...ila usinitangaze rangi ya K tu,ntakuroga!Hebu niombe tena uone ntakavyokutwanga na Passo ka kusafishia nyota
Love you too girlie.i love uuumeadimika sana
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Haaaaa unajua tatzo kuna watu uwa wanajua kila mwanamke ni kumtongoza tu.Ha ha ha
Unanijulia hali kila siku umekuwa daktari wangu?
Jamani nikikupa namba tuwe marafiki unaanza kunitongoza!Nikikataa unakasirika,nikiomba hela unanitangaza
Hamjapenda jamaa alivyosema ni nyeusi....hahahahahaHapo sasa sijui wanataka tuzibandike usoni![]()
Hizo K zinasimangwa sana..Haaaa anavyoona sura nzuri anazani k nayo uwa ivyo
Uzuri wa k umo ndani
Ha haaaaa kabisaaa kazi hana ..pesa hana halafu anachagua kMarioo on fleeck
Naona thread ya wahenga hii...
Ila mmenikumbusha taahira alintext pm akanambia.." Dada nimependa lips zako,upo wapi nije nizinyonye"
Sasa taahira kama hilo unalijibu ili iweje...kuna mataahira wengi sana PM..
I agree kwamba unaeza msoma mtu thru text na unavochat nae PM..
Cc😀aby



unaniruhusu hii comment yako nimCC fulani mkuu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nmeshindwa kuvumilia wacha
Tu nicheke aiseeee!!!
Nlishasema jf babu kubwa
Kama tu magruo ya wasap
Ila kuna member wanaenda
Kukimbia id zao jf iko moto
Co kawaida
Mkishindwa kuelewana
Lazma mboga na ugali
Zimwangwe pahali moja
[Color= yellow]Triple A[/color]



Ndio hapo rafiki. Mana kuihalisia ni jambo la kawaida. Inashangaza sana watu wanapoligeuza kuwa ni ajabu.Hivi niulize tu,mtu unaweza kuwa mweusi afu K ikawa nyeupe??
ALAFU NYEUSI NAYO NI RANGI MWEEE!
Wanakwambia unaibia ibia..
Mke wa mtu sumu,mchepuko ndio maziwa yake![]()
![]()
![]()
Ila wakiombwa hela ndio zambi![]()




Hapana...sio vizuri kabisa.Mbona wake za watu kama wewe wenye wapenzi huku hujawasema ili waache hiyo tabia mbaya ya kuwa na michepuko huku JF?.......je ni haki wake za watu kama akina fulani kuwa na wapenzi wengine huku JF na kuliwa free?
![]()
Si angemtafuta mwarabuuHamjapenda jamaa alivyosema ni nyeusi....hahahahaha
Rangi haijalishi kitu jamani