Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Napinga!,JF siyo kama mtaani kwangu kwa sababu kama JF ni sawa na mtaani kwangu mbona mimi huku JF nakula wake za watu kirahisi kuliko hapa mtaani kwangu??
Yaan rafiki nimekushindwa aseee
 
Napinga!,JF siyo kama mtaani kwangu kwa sababu kama JF ni sawa na mtaani kwangu mbona mimi huku JF nakula wake za watu kirahisi kuliko mtaani kwangu??
Kwa sababu wewe mnafiki,hutongozi wa mtaani kwako ili usionekane malaya
Haya ndio yanapingwa na mtoa mada.Kama unawalala wake za watu humu na kuna haja gani kulitangaza?huoni unakuwa mshamba fulani amaizing?
Alafu kwani wewe unapotoka na mke wa mtu huoni kuwa unakuwa 'cheap' kama yeye?Kwa sababu naamini una mahusiano yako au mke kabisa na wala hujayaheshimu vilevile.
Kwa hiyo bora uchawi kuliko unafiki.
 
Mimi nilikwambia napenda wababu afu awe na wake kila kona kama wewe yani...ila usinitangaze rangi ya K tu,ntakuroga!
Ntaanzia wapi kuwaambia ulivyonikatikia mauno?

Wewe ni mwanamke wa mfano.

Nasikitika umeolewa kabla sijakufahamu... hivi leo ungekuwa mama wa watoto wangu wanne
 
Ilikuwa inanisaidia kupata muda wa kwenda kule kwingine. Ila sasa niko huru.
Oouh hapo sawa.....
Maana kuanikana kama uwele sio kuzuri kwa afya ya hizi ID maarufu
 
Back
Top Bottom