MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
Ni ni ngumu sana kumlizisha mwanamke but we are trying... Asili ya mwanaume sio kukata tamaa
yaan hyo sentensi mie had nakufa sikubaliani nayo !mm ni mwanamke lakin hakuna mtu mwepesi kuridhika km mwanamke ! amini nikuambialo mwanamke mwenye hulka ya 'ukike'(achana na wale wanaojiuza) huwa ni mtu wa kuridhika !chonde chonde usimfanye akaamua kugive up ndo mnarudi huku kuwa haturidhiki !
mwanamke akichoka timbiwli zenu hata hyo hamu ya dudu huwa haipo !anaweza kaa ht mwaka asitaman kududuliwa ! jiangalien kwanza nyendo zenu ndo mje mseme haya !
ni sehem ndogo sana kumnasa mwanamke !uzuri kuna baadhi ya wanaume humu huwa wanaeleza huwa naishia kubatabasamu tu ! ukiona mwanamke analilia mambo makubwa muepe mapema !wanawake tunapenda vitu vidogo vidogo mno jaman ! nashindwa ht kuorodhesha !
tatizo linakuja mnajisahau mnajifanya mpo busy huko nje na wanaume wenzenu ukiuliza wanakuambia oh tunatafuta deals !sawa tafuta deal laKini kumbuka una mke uwah kurud,mletee mkeo vizawad vidogo dogo ht pipi kifua !sasa ww toka ajifungue had amekuza mtoto 6yrs hujawah mletea hata chupi,hereni,pedi,mtandio.,nguo!
Akiumwa mkumbushe kunywa dawa yaan ww jitoe ufaham mpigie simu,usiku ukiamka mfunike shuka kama kajifunua , nedna naye kanisani ,msaidie kufua ,kupika ..... nk nk hapo mwanamke habanduki !
ukiona mwanamume kila siku analia na huu msemo kuwa wanawake hawaridhiki huyo ni LOOSER ! mkafie FRONT