Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
Ivi kwani umeolewa?
 
Kabisa mkuu alafu hakuna kitu kizuri kama mwanamke akiiomba mwenyewe
Sasa mpaka aombe mwenyewe bado ni tatizo, mwanamke anaweza kaa muda bila kushiriki tendo, cha msingi msitue akupe hata kama hataki cha msingi uliomba likitokea ukaenda gonga nje basi inakua yeye ndiye anawajibika... Ila hakuna kitu kinakera kama kuomba game kwa mke wako yani unabembeleza weeeee kah
 
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
kukupa wewe tena wanatimiza tu wajibu lakini wengi walishapataga mchana kweupee na wanaojuwa ile kazi
 
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
Nalo neno............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom