Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,579
- 55,632
Binafsi siwezi kumchoma mwanaume na maji ya moto, Kama kuchepuka achepuke kwa raha zake atakavyojisikia yeye, Usingizi ni kitu cha Muhimu sana kwa binadamu.mkitafutiwa wasaidizi mnachoma waume zenu na Maji ya Moto, mkiombwa Mzigo mnajifanya mmechoka
