Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Yaani bora hata huyo wako anaamka mnaanza game, me wa kwangu haamki ndiyo kwanza atakupiga hadi mateke, kuhusu kuomba game hata ile wakati wa kawaida ndiyo hawezi kabisa yaani nisipoomba mm na kuforce force hamna kitu ntapata kabisa. Huwa sielewi huyu mwanamke kuna mtu anamkanyaga huko nje au ni nn
Mkuu hiyo kitu ni haki yako kama anakubania anza uchunguzi isije kuwa kuna mtu anakusaidia
 
Umenielewa vibaya. Nimesema tufanye kabla hatujalala na asubuhi ule muda tunajiandaa kuamka. Usiku sana ni kero hata stimu hakuna.
Dah mna raha .tunaodate na tuto twa geti Kali tunaumia sna..kuonana kwa kukavizia tu tena ni mchana unakula goli chache kanarudi kwako hahaha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom