MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
ahha wavivu upande gan !fungukaLugha yako tu yaonyesha we ni moja ya wale watu wavivu
ahha wavivu upande gan !fungukaLugha yako tu yaonyesha we ni moja ya wale watu wavivu
Ukisubiri mwanamke akuombe dyudyu utachina mkuuKwanza kwann nikuombe?! Kwann wewe usijiongeze ukahakikisha unanipa saa nne ili nisikusumbue baadae?! Kwani nyege nnazo mie peke yangu?!
sema wewe lolUkisubiri mwanamke akuombe dyudyu utachina mkuu
Mvivu kwenye kuomba game..! [emoji2] [emoji2] [emoji2]ahha wavivu upande gan !funguka
Sasa ukiomba unaambiwa unaleta usumbufu nisipoomba unasema nitachina. Kuchepuka sipendi sasa Kilichobaki ni kubaka tu..!Ukisubiri mwanamke akuombe dyudyu utachina mkuu
Mvivu kwenye kuomba game..! [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kwa mpango huu tutafika kweli?!ahhaha kote kote !niombe game kwa kipi haswa!lol
Kwa mpango huu tutafika kweli?!
hizi sio bangiBangi haujaacha tu!!!
Bangi haujaacha tu!!!
ila hizi ni bangiHivi unaujua utamu wa usingizi wewe au unatania!! Tabia mbaya mnooo kumuamsha mwenzio kwa mambo yasiyo ya msingi.
Haahhaha hili ndo kimbilio lenu.. Yaani hata kama nikikupa kila kitu.. Ukifika kwa shoga zako wewe ndo kimbele mbele kunisema vibaya..!hahaha wwe mridhshe mkeo uone km hamtaenjoy !tatizo lenu mk wa binafsi sana sana !hamjali wake zenu hamjui wanavaa nn mpo mpo tu km maguruwe leo hii niwe na hamu na ww kwa kipi haswa!
Kama unaanza kuomba papuchi kwa mwanamke pole, mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwamba leo nataka mechi...Sasa ukiomba unaambiwa unaleta usumbufu nisipoomba unasema nitachina. Kuchepuka sipendi sasa Kilichobaki ni kubaka tu..!
Haahhaha hili ndo kimbilio lenu.. Yaani hata kama nikikupa kila kitu.. Ukifika kwa shoga zako wewe ndo kimbele mbele kunisema vibaya..!
Hajamjulia mwanamke huyosema wewe lol
Kama unaanza kuomba papuchi kwa mwanamke pole, mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwamba leo nataka mechi...
Mfano, wa kwangu mimi ananianza tangu yupo kazini. Utaona anatuma vimeseji vya uchokozi na simu kila wakati basi hapo najua leo mechi najiandaa mapema. Na akija tutaanzia sebuleni tulipopokeana, tukimaliza tunaenda kuoga, huko nako tunaendelea. Baada ya hapo tunaenda kula, tunapiga story na kucheki movie, usipoangalia tunapiga tena [emoji85] kisha tunaenda zetu kulala. Huo usingizi wake hapo sidhani kama kuna nguvu ya kuamka ucku wa manane, mpaka alfajiri tena.
Aisee..! Mfundishe mwenzio MBITIYAZA maana naona yeye yupo nyuma kweli kwenye mambo hayo..!Kama unaanza kuomba papuchi kwa mwanamke pole, mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwamba leo nataka mechi...
Mfano, wa kwangu mimi ananianza tangu yupo kazini. Utaona anatuma vimeseji vya uchokozi na simu kila wakati basi hapo najua leo mechi najiandaa mapema. Na akija tutaanzia sebuleni tulipopokeana, tukimaliza tunaenda kuoga, huko nako tunaendelea. Baada ya hapo tunaenda kula, tunapiga story na kucheki movie, usipoangalia tunapiga tena [emoji85] kisha tunaenda zetu kulala. Huo usingizi wake hapo sidhani kama kuna nguvu ya kuamka ucku wa manane, mpaka alfajiri tena.
Aisee..! Mfundishe mwenzio MBITIYAZA maana naona yeye yupo nyuma kweli kwenye mambo hayo..!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume nao wambea kumbehuyo ndo mwanamume bwana ! mwingine ht sms ukiona imeandikwa toka kwa hubby ujue umbea wa mjini anakupa !au anakupa habari ya msiba ! hongera!mshikilie
Wee Mbitiyaza ndo kungwi sasa sema mwanaume aliyenaye ndo miyeyusho [emoji12]Aisee..! Mfundishe mwenzio MBITIYAZA maana naona yeye yupo nyuma kweli kwenye mambo hayo..!