Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,885
- 51,711
Sio ustaarabu kumnyima mumeo, sasa aende wapi kutafuna huku kitumbua cha mke wake kipo, umekilaza umekifunika kitandani acha mashine ipenyeTutafanyaje wakati hatujaamka?
Sio ustaarabu kumnyima mumeo, sasa aende wapi kutafuna huku kitumbua cha mke wake kipo, umekilaza umekifunika kitandani acha mashine ipenyeTutafanyaje wakati hatujaamka?
hata mimi aisee ukitaka kununiana uniletee habari za kuniasha usingizini eti unatakaSipendi kuamshwa usiku wa manane, tufanye kabla ya kulala au alfajiri kabla hatujaamka
Lets say mna mtoto wa miaka miwli ambaye hapendi kulala na dada, na hata kitanda chake hataki kulala huko, why not msipange mgegedo usiku? Maana pia mtoto ana kauzibe so hapo ni kukurupushana tu midnightUmenielewa vibaya. Nimesema tufanye kabla hatujalala na asubuhi ule muda tunajiandaa kuamka. Usiku sana ni kero hata stimu hakuna.
Kanichwekesha alivyooandika kwa hisia Kali
50Una waume wangapi?
Nimefanyaje 🙂@JimmyfoxgongoJamima bhana
Naendelea kukuchora tuBinafsi siwezi kumchoma mwanaume na maji ya moto, Kama kuchepuka achepuke kwa raha zake atakavyojisikia yeye, Usingizi ni kitu cha Muhimu sana kwa binadamu.
Ukimaliza wafunika na kawa...Sio ustaarabu kumnyima mumeo, sasa aende wapi kutafuna huku kitumbua cha mke wake kipo, umekilaza umekifunika kitandani acha mashine ipenye
Na mimi nakuchora tuuuNaendelea kukuchora tu
ID zako zinajulikanaNa mimi nakuchora tuuu

Tatizo wanawake wanawake hawajiachii wakiwa na waume zao...hicho ndio huwafanya wasifurahie tendoKabisa mkuu alafu hakuna kitu kizuri kama mwanamke akiiomba mwenyewe
Hahahahhahahhahaha nakuja kulee unielezee vizuri, Nina Id moja tuu hiiID zako zinajulikana![]()
Mtakulanaje dyudyu kabla hamjaamka?....usingizini au ndotoni.Sipendi kuamshwa usiku wa manane, tufanye kabla ya kulala au alfajiri kabla hatujaamka
Kabisaa naenda kupiga kazi tuu...apo ukiamka mwili mwepesi ubongo unakua active
Kwakuwa namfanyia mume wangu...acha iwe ya kikahaba...ajabu mkichepuka huko ndivyo mnafanyiwa na kuwaacha wake zenu wakijichua...Mbona kama imekaa ki kahaba flan ivi?
Aisee uko vizuriTatizo wanawake wanawake hawajiachii wakiwa na waume zao...hicho ndio huwafanya wasifurahie tendo
Mkuu Vitumbua vyao vitamu walahi tena hata hati ya nyumba dakika tu unasaini jina lake badala la mtoto kwa jinsi kitumbua kilivyo na mvuto wa ajabu, sema hawajajua tu nguvu ya vitumbua vyao...Ukimaliza wafunika na kawa...