Mkuu hata Huko South Africa sio USD 30 Kama ulivyowema Malipo ya premium package South Africa ni Rand 665 ambayo ni sawa na Kama USD 62.1833 ambayo ni Kama 105000 tsh. Hivi.
Inawezekana ulikuwa au unaendelea kulipishwa zaidi ya bei, hebu tembelea hapa http://www.multichoice.co.za/multichoice/view/multichoice/en/page44135 utagundua dstv extra ni rand 380, na hiyo si thibitishi kwa kupitia mtandao tu bali hata kwa mkazi wa huko anayethibitisha unafuu wa bei tofauti na kwetu.
Hakuna anayepinga kama Dstv Wanaquality...tunachojadili kwanini wawe na bei za juu ? Wakati kwengine nchi zingine bei ziko chini ? Na kwanini watumie dola ? :what:
MultiChoice Zimbabwe last week officially launched the DStv Explora in Zimbabwe and the official Zimbabwe price of $425 was a talking point compared to regional prices. As a follow-up, we have compiled regional DStv subscription rates across the 5 most popular bouquets.
NB:Hii price ilikuwa ni ya December 2013,South Africa mwaka huu bei imepanda zaidi ya hiyo inayoonekana hapo.Bei ya DSTV inapungua kadri idadi ya customer wanavyokuwa wengi kwenye nchi husika nakumbuka hili wakati DSTV walivyotaka kuonyesha ligi ya Tanzania,dau lao lilikuwa dogo wakidai kuwa Tanzania kulikuwa na wateja wachache wa DSTV
Wacha hizo we! Inaonekana pasipo shaka wewe ni mmojawapo wa watu walio kwenye huuu mtandao wa kuibia watanzania. Ngoja nikuwekee listi ya malipo kwa tv za nchi nyingine uone jinsi nyinyi milivyo wezi!
Changamsha bongo yako ktk issues kama hizi kwanini DSTV ina haki ya kuonyesha hizo Ligi na bado inatumia nguvu za pesa kuhakikishaTaasisi kama TCRA inazizua Tv stations nyingine zisionyeshe hizo Ligi hata kama wanarusha kupitia Tv washirika wengine. Ni rushwa tu na umasikini na ujinga wa watawala wetu wakiungwa mkono na mtu kama wewe.
Hivi wewe unajua maana ya hati miliki au unaongea tu kwa kujifurahisha, kwanza turudi kwenye maada yenyewe kuna sababu nyingi zinazo fanya malipo ya dstv yatafautiane nchi moja hadi nyingine 1.viwango vya kodi wanayolipishwa hawa dstv pamoja na vifaa kama decoder zao n.k. nikubwa tafauti na wanavyolipa kwao southafrica hivyo nawenyewe wanaongeza gharama ya malipo kwa watumiaji ili kufidia hasara. Kitu kingine ni kwamba hati miliki ya kurusha matangazo ya EpL. Wanayo Skysport hivyo dstv wanauziwa matangazo tena kwa bei mbaya ndo maana tunaona subsahara yote dstv peke yao ndo wanonyesha epl, na northafrica beNsports ndo wanaonyesha epl. Ushauri wangu tujaribu kumshawishi Azamtv anunue hati miliki ya kuonyesha epl, ilituone kama ataendelea kutuchaji 12500, kwa mwezi.
Hata Nigeria pia ni cheap hata wanafunzi wa vyuo wanazo hostel ndio maana kwenye reality show SA na 9Ja wana viewers wengi....
Nakumbuka bigbrother ya 2010 akina Uti, Sheila na Mwisho walikuwa wana discuss hii kitu mpk Uti akashangaa kwann Dstv kwa EA na baadhi ya Southern ni ghali compare to SA na West Africa.
Economics dynamics, DSTV ni ghali kwa Afrika Mashariki kwa sababu subscriber base, ama tuseme watu wenye uwezo wa kulipia ni wachache kulinganisha na Afrika Kusini.
Hapa unaangalia takwimu za middle class, watu wa kima cha chini. Kwa Tanzania, watu wa kima cha kati, yaani middle class base/people ni ndogo mno, takwimu zinaonesha kima cha kati ni asilimia 12 tu.
Kwa hali hii, inabidi watu wachache wenye uwezo wa kulipa kutozwa malipo makubwa. Kwa nchi zenye watu wengi wenye uwezo wa kulipia DSTV, gharama inapungua. Hata gharama za simu ziko hivyo.
Hivi wewe unajua maana ya hati miliki au unaongea tu kwa kujifurahisha, kwanza turudi kwenye maada yenyewe kuna sababu nyingi zinazo fanya malipo ya dstv yatafautiane nchi moja hadi nyingine 1.viwango vya kodi wanayolipishwa hawa dstv pamoja na vifaa kama decoder zao n.k. nikubwa tafauti na wanavyolipa kwao southafrica hivyo nawenyewe wanaongeza gharama ya malipo kwa watumiaji ili kufidia hasara. Kitu kingine ni kwamba hati miliki ya kurusha matangazo ya EpL. Wanayo Skysport hivyo dstv wanauziwa matangazo tena kwa bei mbaya ndo maana tunaona subsahara yote dstv peke yao ndo wanonyesha epl, na northafrica beNsports ndo wanaonyesha epl. Ushauri wangu tujaribu kumshawishi Azamtv anunue hati miliki ya kuonyesha epl, ilituone kama ataendelea kutuchaji
12500, kwa mwezi.
Azam Tv hana uwezo wa kununua hakimiliki za kuonesha ligi ya Uingereza kutokana na hali halisi ya kiuchumi na nchi anazotarajia kurusha matangazo. Haki za kurusha matangazo zinamilikiwa na mkusanyiko wa makampuni makubwa mno Duniani kutokana gharama za kununua hizo haki.
Nikisema "Watu walikuwa hawajafunga mikanda kwenye gari la Mbunge Selasini!" ninakuwa nimetukana mtu? Ruhusuni mawazo ya kila aina, si lazima wote tukachangie kule kwenye mijadala ya "Natafuta Mama wa Miaka 50 wa kulala nae"![/FONT][/SIZE][/QUOTE]:what: https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=3968500
Hivi wewe unajua maana ya hati miliki au unaongea tu kwa kujifurahisha, kwanza turudi kwenye maada yenyewe kuna sababu nyingi zinazo fanya malipo ya dstv yatafautiane nchi moja hadi nyingine 1.viwango vya kodi wanayolipishwa hawa dstv pamoja na vifaa kama decoder zao n.k. nikubwa tafauti na wanavyolipa kwao southafrica hivyo nawenyewe wanaongeza gharama ya malipo kwa watumiaji ili kufidia hasara. Kitu kingine ni kwamba hati miliki ya kurusha matangazo ya EpL. Wanayo Skysport hivyo dstv wanauziwa matangazo tena kwa bei mbaya ndo maana tunaona subsahara yote dstv peke yao ndo wanonyesha epl, na northafrica beNsports ndo wanaonyesha epl. Ushauri wangu tujaribu kumshawishi Azamtv anunue hati miliki ya kuonyesha epl, ilituone kama ataendelea kutuchaji 12500, kwa mwezi.
MultiChoice Zimbabwe last week officially launched the DStv Explora in Zimbabwe and the official Zimbabwe price of $425 was a talking point compared to regional prices. As a follow-up, we have compiled regional DStv subscription rates across the 5 most popular bouquets.
NB:Hii price ilikuwa ni ya December 2013,South Africa mwaka huu bei imepanda zaidi ya hiyo inayoonekana hapo.Bei ya DSTV inapungua kadri idadi ya customer wanavyokuwa wengi kwenye nchi husika nakumbuka hili wakati DSTV walivyotaka kuonyesha ligi ya Tanzania,dau lao lilikuwa dogo wakidai kuwa Tanzania kulikuwa na wateja wachache wa DSTV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.