regnard magari
Senior Member
- Jan 5, 2015
- 146
- 174
Mara mia DSTV kuliko hivi ving'amuzi mbuzi
Mara mia DSTV kuliko hivi ving'amuzi mbuzi
watu hawajui maana ya tofauti ya ubora hata hizo tv ziko za hata 10mUnallia nini kikla. Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake mbona hulalamiki bia maisha club inauzwa 5000 wakati kitaa ni 2500?? Kama huwezi hamia bongo muvi chanel jiunge library Mia 5 tu au hamia vibanda umiza ukishindwa kabisa uende baa sh 600 tu ya soda unaona mechi zootee
Naona DSTV sasa wanaanza kuuza visimbuzi vyao mpaka barabarani..
Na bado mtufate majumbani mgonge milango na kutuuliza kama tunataka huduma zenu...
Wekeni bei zinazoendana na hali halisi ya kimaisha muone kama hamjapata wateja wengi.
Explora sasa hivi unaweza kupata vifurushi vya kunzia compact, compact + na premiumDSTV ni level nyingine kabisa huwezi fananisha na vinga'muzi vingine aisee. Mfano Ukiwa na PVR EXPLORA aisee mkuu utajua nini nakwambia japo ndio hivyo kununua hiyo decoder na kufugiwa ni 1,000,0000 tsh na malipo ya mwezi kwa premium ni 159,000 tsh but uta enjoy sana na features zilizopo humo.